Uchaguzi Mdogo Arusha Mjini, Hypothetical Case: Jk vs Matonya

Uchaguzi Mdogo Arusha Mjini, Hypothetical Case: Jk vs Matonya

Ungempigia nani kura uchaguzi mdogo wa ubunge Arusha mjini kati ya JK na Matonya? Hapa tuna asume ii


  • Total voters
    82

ibange

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
1,543
Reaction score
553
Jamani naombeni mpige kura ya maoni, Arusha Mjini uchaguzi mdogo wa ubunge kama JK angeruhusiwa na katiba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM na Matonya wa Dodoma agombee kwa tiketi ya Chadema nani ungempigia kura yako?
 
Kura yangu kwa Matonya babaaaaaaaaaaangu!
 
Arusha - mwanaccm yeyote akigombea na jiwe, hakika jiwe litashinda!
 
Ha ha ha! nimeipenda hii! si anasema wananchi walifurahishwa na yale mazoezi yake ya ngurudoto! ha ha ha!
 
Hata ingekuwa ni kimvuli ya Matonya Vs Jk.

Hakika kimvuli ya matonya ingeshinda tu!
 
Generally Kikwete popularity has dropped bellow zero!!
 
Hadi sasa Matonya hakamatiki, uzi nimeupenda sana, hahaaaaaaaaaa, Maitario ulikuwa unafikiria nini hadi ukaja na huu uzi?
 
duuh! Kweli hili ni jukwaa la magreat thinker's......
 
Jamani naombeni mpige kura ya maoni, Arusha Mjini uchaguzi mdogo wa ubunge kama JK angeruhusiwa na katiba kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM na Matonya wa Dodoma agombee kwa tiketi ya Chadema nani ungempigia kura yako?

Wote si omba omba? Basi watakuwa sawa japo matonya atkuwa juu zaidi!
 
Mimi nampigia matonya kwa 7bu nadhani anaweza akajua kwanini Tz ni maskini!
 
Back
Top Bottom