Uchaguzi Igunga: Wanaovuma ni wapiga debe na si wagombea wenyewe

Stanley.

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
660
298
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu kampeni za huko Igunga, nilichobaini ni kuvuma kwa wapiga kampeni binafsi na sio wagombea wenyewe. Imefikia mahali wapiga kampeni wanashambuliana wao wenyewe kwa kutumia majukwaa na sio kutoa sifa na kasoro za wagombea ili wananchi wafanye uamuzi wenye manufaa kwao. Yanayoendelea huko utasikia Dr. Slaa au Wassira kafanya hivi. Inavyoonesha ni kama chama fulani kimepanga mkakati huo ni kingine kimejikuta kimeingia bila kujijua. Source: Taarifa toka vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom