na kule uk kulikua na local council elections conservatives wameanguka vibaya... sasa hivi europe hali ya vyama vinavyotawala ni mbaya....hali ya uchumi ni ngumu wananchi wamechoka...kuanguka kwa sarkozy kuta affect sana EU maana france na germany ndio walikua kwenye tight deals za kuokoa uchumi za nchi ndogo within eu kama greece, portugal and so forth....
it was always going to be about government spending vs spending cuts...