Emmanuel Luoga
Senior Member
- Oct 26, 2012
- 111
- 29
Tumekuwa wanachama wa CHADEMA kwa miaka
mingi mbona hatukuvaa kombati mpaka wakati wa
Mbowe? Tumekuwa wanachama wa CHADEMA kwa
miaka mingi mbona hatukuitwa makamanda
mpaka wakati wa Mbowe? Tumekuwa wanachama
wa CHADEMA kwa miaka mingi mbona
hatukuitumia nguvu ya umma mpaka wakati wa
Mbowe? Tumekuwa wanachama wa CHADEMA kwa
miaka mingi mbona hatukuwa kitisho kwa utawala
wa mafisadi mpaka wakati wa Mbowe? Tumekuwa
wanachama wa CHADEMA kwa miaka mingi mbona
hatukuwa chama kikuu cha upinzani mpaka wakati
wa Mbowe? Ukiyajua hayo utakubaliana nami
kwamba, Mbowe ni kiongozi makini na mwenye
weledi. Hilo ndilo linalowanyima usingizi mafisadi.
Wanakosa raha sababu ya umakini wake.
Wameendesha propaganda nyingi zikaangukia pua.
Swali tunalopaswa kujiuliza wana CHADEMA, hivi
wapinzani wetu ccm wanaweza kutuelekeza
kiongozi bora wa kuiongoza CHADEMA? Hivi huyo
wanaetumia muda wao mwingi kumpamba na
kumpa sifa zisizo zake haimaanishi wamegundua ni
uchochoro kwao? Bila shaka chaguo lao ni dhaifu
kama wao. Hana uwezo wa kufanya harakati za
ujenzi wa chama, uwezo wake ni kujenga makundi
ya kubomoa chama. Uwezo wake ni kujenga
mitandao kama mafisadi. Wanaamini kupitia yeye
watakuwa wameiondolea CHADEMA upinzani halisi
na kuwa na upinzani wa kishikaji kama vyama
vingine. MUNGU ibariki CHADEMA maana ndilo
tumaini la watanzania.
mingi mbona hatukuvaa kombati mpaka wakati wa
Mbowe? Tumekuwa wanachama wa CHADEMA kwa
miaka mingi mbona hatukuitwa makamanda
mpaka wakati wa Mbowe? Tumekuwa wanachama
wa CHADEMA kwa miaka mingi mbona
hatukuitumia nguvu ya umma mpaka wakati wa
Mbowe? Tumekuwa wanachama wa CHADEMA kwa
miaka mingi mbona hatukuwa kitisho kwa utawala
wa mafisadi mpaka wakati wa Mbowe? Tumekuwa
wanachama wa CHADEMA kwa miaka mingi mbona
hatukuwa chama kikuu cha upinzani mpaka wakati
wa Mbowe? Ukiyajua hayo utakubaliana nami
kwamba, Mbowe ni kiongozi makini na mwenye
weledi. Hilo ndilo linalowanyima usingizi mafisadi.
Wanakosa raha sababu ya umakini wake.
Wameendesha propaganda nyingi zikaangukia pua.
Swali tunalopaswa kujiuliza wana CHADEMA, hivi
wapinzani wetu ccm wanaweza kutuelekeza
kiongozi bora wa kuiongoza CHADEMA? Hivi huyo
wanaetumia muda wao mwingi kumpamba na
kumpa sifa zisizo zake haimaanishi wamegundua ni
uchochoro kwao? Bila shaka chaguo lao ni dhaifu
kama wao. Hana uwezo wa kufanya harakati za
ujenzi wa chama, uwezo wake ni kujenga makundi
ya kubomoa chama. Uwezo wake ni kujenga
mitandao kama mafisadi. Wanaamini kupitia yeye
watakuwa wameiondolea CHADEMA upinzani halisi
na kuwa na upinzani wa kishikaji kama vyama
vingine. MUNGU ibariki CHADEMA maana ndilo
tumaini la watanzania.