Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Iwe isiwe hapa chadema inahusika. Hayo ni maneno tunayo tarajia kutoka kwa wasemaji wa ccm. Mia
Kama kilaza Nape na Mwigulu, wao wanawaza chadema wamesema nini
Iwe isiwe hapa chadema inahusika. Hayo ni maneno tunayo tarajia kutoka kwa wasemaji wa ccm. Mia
Tanzania inapita ktk wakati mgumu kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hakuna hata jambo moja ktk mambo muhimu ambalo kwa sasa linafanyika vizuri/sawasawa.
Naomba kukanushwa.