Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Jamani mie sielewi ati..........yaaani uchaguzi unafanyika fools day............ili hata mambo yakiharibika, watu waibe kura, itaonekana ni siku ya wajinga. Siku hiyo tutasomewa washindi wa ajabu kwenye ,magazeti.............tutavurugana.......tu ndio maana hata daftari la wapiga kura haliboreshwi...........litatumika lile lile la 2010 hata kama lilikuwa na mapungufu. Tarehe 1 April huwa ni siku ya wajinga hata kama sio rasmi.....watu huitumia siku hii kufanyiana ujinga.