Uchaguzi 2015 majanga?

Uchaguzi 2015 majanga?

Njengwa boy

Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
7
Reaction score
1
Kwa kuwa vitambulisho vya kudumu bado havijakamilika nch nzima..na serikal haitaki kupitsha mfumo wa daftar la kudumu la wapiga kura inamaana watakaopiga kura ni walewale waliopiga 2010 ko ccm watazd kupeta kuchukua madaraka kama kawa? Vyama pinzani ni conscious yangu kwenu ndo hyo tu.
 
uchaguzi wa mwaka 2015,chadema itaingia ikiwa vipande vipande a.k.a chadema chumbani na chadema sebuleni, mpinzani wa ccm sasa hivi ni nccr mageuzi
 
Kama hakutakuwa na uboreshaji wa daftali la wapiga kura hakutakuwa na kupiga kura tutaenda mahakamani.
 
Back
Top Bottom