Njengwa boy
Member
- Jan 2, 2014
- 7
- 1
Kwa kuwa vitambulisho vya kudumu bado havijakamilika nch nzima..na serikal haitaki kupitsha mfumo wa daftar la kudumu la wapiga kura inamaana watakaopiga kura ni walewale waliopiga 2010 ko ccm watazd kupeta kuchukua madaraka kama kawa? Vyama pinzani ni conscious yangu kwenu ndo hyo tu.