Uchaguzi 2015: CCM + CUF vs CHADEMA + NCCR-Mageuzi

Uchaguzi 2015: CCM + CUF vs CHADEMA + NCCR-Mageuzi

bullet proof

Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
57
Reaction score
35
Ikiwa ni takribani miaka 2 imebaki kabla ya uchaguzi mkuu nchini kufanyika, kuna baadhi ya wabunge wa CCM wenye nia ya kupeleka hoja bungeni ili kuruhusu vyama kuungana wakati wa uchaguzi kama ilivyokuwa Kenya. Wakati hali ikiwa hivi kuna kila dalili kuwa CCM kitaungana na CUF ili kusimamisha mgombea mmoja wa Urais! Je, kuna sababu ya CHADEMA kuungana na vyama au chama kingine ili kusimamisha mgombea mmoja? Na kama CHADEMA kitafanya hivi, vipi kikiungana na NCCR-Mageuzi? Na mwisho kabisa ushindani utakuwaje kati ya CCM na CUF dhidi ya CHADEMA na NCCR-Mageuzi?
 
Mkuu hapo kwny CCM +CUF hujafikir vzr.itakuwa hivi CCM +CHADEMA HIVI HUONI ANAEHAMA CHADEMA ANAKWENDA CCM NA ANAEHAMA CCM ANAKWENDA CHADEMA,KADA MAARUFU WA CCM ANAIPA MSAADA CHADEMA NA HATA WANACHAMA WAO WANAMILIKI KADI MBILI!!!yote maandalizi ya kuangana p1...wape salamu
 
Sidhani kama kutatokea kitu kama hicho. CCM na CUF is possible lakini CDM inaweza kuungana vyam didovidogo sana na wanaweza kupata ridhaa ya wanchi kwa mapenzi waliyonayo kwa CDM. Ni kama ilivyofanyika jimbo la kawe Mdee kushinda watu wawili akiwemo M/kiti Taifa wa chafulani nimekisahau kwa jina. NI ushujaa ulioje wa kisiasa kwa Halima Mdee!!!
 
"Chama cha upinzani Tanzania ni kimoja tu Chadema" Dr.W. Slaa
 
Last edited by a moderator:
Nikiitazama 2015 nawaonea huruma cdm kwani ndo mwisho wa mbwembwe zao.
1. Majimbo yatapungua.
2.urais ndoto.
 
Mkuu hapo kwny CCM +CUF hujafikir vzr.itakuwa hivi CCM +CHADEMA HIVI HUONI ANAEHAMA CHADEMA ANAKWENDA CCM NA ANAEHAMA CCM ANAKWENDA CHADEMA,KADA MAARUFU WA CCM ANAIPA MSAADA CHADEMA NA HATA WANACHAMA WAO WANAMILIKI KADI MBILI!!!yote maandalizi ya kuangana p1...wape salamu

Mbona CCM + CUF tayari washaungana huko zenji, imebaki hapa tanganyika tu kukamilisha azma yao.
 
Nikiitazama 2015 nawaonea huruma cdm kwani ndo mwisho wa mbwembwe zao.
1. Majimbo yatapungua.
2.urais ndoto.

Kwa akili zako fupi zilizojaa mikamasi, na mwisho wa vision yako ni kwenye pua yako. Tafuta darubini upate kuona mbali Nya..fu weye.
 
Maaskin CUF yangu,ikiwa hivyo nitalia kwa machungu kwani nitajuta kuwa mwaminifu kwa cuf enzi zile kumbe hatukuwa na fikra moja ya kumkomboa mnyonge kutoka kwenye udhalimu wa ccm.HAPANA sipendi wala sitamani kusikia hivyo kwani wanzanzibar bado wana imani chama chao cha ukombozi pamoja na mikikimikiki mingi kiliyopitia na kuamua kuchukua likizo(Maalim Seif ale bata kidogo) bado kitarudi ktk mapambano ya kweli.
 
Nikiitazama 2015 nawaonea huruma cdm kwani ndo mwisho wa mbwembwe zao.
1. Majimbo yatapungua.
2.urais ndoto.
Mkuu sidhani kama itakuwa hivyo.
Ungejaribu kuweka sababu za msingi ili kujenga hoja yako.

Mimi na critical thinker wengi humu JF tunafikiri vice versa, yaani
1/Chadema itapata majimbo mengi zaidi 2015
2/Chadema kwa mara ya kwanza itatoa raisi 2015.

*REASONS
1/Watanzania wengi sana wana imani kubwa na Chadema kuliko chama kingine chochote cha siasa

2/Ndio chama pekee kunachofanya harakati kubwa sana za kisiasa zinazokubalika nchi nzima.

3/Chama changu cha CCM kwa sasa ni chama mfu kabisa kisiasa(Ni suala la muda kitazikwa rasmi)
 
Sidhani kama kutatokea kitu kama hicho. CCM na CUF is possible lakini CDM inaweza kuungana vyam didovidogo sana na wanaweza kupata ridhaa ya wanchi kwa mapenzi waliyonayo kwa CDM. Ni kama ilivyofanyika jimbo la kawe Mdee kushinda watu wawili akiwemo M/kiti Taifa wa chafulani nimekisahau kwa jina. NI ushujaa ulioje wa kisiasa kwa Halima Mdee!!!

sidhan kama kuna chama kinaweza kukubali kuungana na magaidi kama chadema halafu kaka ongea na mdee muulize ule mchezo alouaza tangu akiwa chuo kikuu ameacha au anaendelea nao ule wa wao kwa wao....
 
sidhan kama kuna chama kinaweza kukubali kuungana na magaidi kama chadema halafu kaka ongea na mdee muulize ule mchezo alouaza tangu akiwa chuo kikuu ameacha au anaendelea nao ule wa wao kwa wao....

Mchezo wa wao kwa wao awe nao asiwe nao hiyo siyo kipimo kwa wanchi wanachotaka ni muwakilishi wa kuwasemea. Kwa nini wana kawe hawakulitumia hili hapo 2010 na hali wanajua maisha yake. Dada ameshaandika Big history katika jimbo la kawe kushinda wanaojidai watawala pamoja na M/kiti mzima wa chama. Niona ni sifa kwake na ndo maana ameingizwa katika ile tuzo ya wanawake. Kaka, ulimtaka nini ukakudengulia? Mbona wengine anawagei bila shida pale wanapoelewana. Tabu ya wabongo mnang'anziza badala ya kutafuta ridhaa ukala kilaini.
 
Mkuu sidhani kama itakuwa hivyo.
Ungejaribu kuweka sababu za msingi ili kujenga hoja yako.

Mimi na critical thinker wengi humu JF tunafikiri vice versa, yaani
1/Chadema itapata majimbo mengi zaidi 2015
2/Chadema kwa mara ya kwanza itatoa raisi 2015.

*REASONS
1/Watanzania wengi sana wana imani kubwa na Chadema kuliko chama kingine chochote cha siasa

2/Ndio chama pekee kunachofanya harakati kubwa sana za kisiasa zinazokubalika nchi nzima.

3/Chama changu cha CCM kwa sasa ni chama mfu kabisa kisiasa(Ni suala la muda kitazikwa rasmi)

Mkuu huo nao ni ukweli kwa sasa kwakila maeneo ukiwakuta vijana kumi watu sita hadi nane ni mashabiki wakutupwa wa cdm kwakila wazee kumi wawili hadi wanne ni cdm wa dhati amini usiamini cdm itaongeza wabunge na mawdiwani wa kutosha hapa JF tu kila machangio matatu mawili yanamwelekeo wa cdm wakati mwingine yote hata hivyo watu wa ccm sasa hawawezi rena kusimama peke yao ni lazima utawakuta kwa makundi hizi ni dalili kuwa mmojammoja hawana hoja wafuasi wa cdm wanajamini mno mkuu
 
Ikiwa ni takribani miaka 2 imebaki kabla ya uchaguzi mkuu nchini kufanyika, kuna baadhi ya wabunge wa CCM wenye nia ya kupeleka hoja bungeni ili kuruhusu vyama kuungana wakati wa uchaguzi kama ilivyokuwa Kenya. Wakati hali ikiwa hivi kuna kila dalili kuwa CCM kitaungana na CUF ili kusimamisha mgombea mmoja wa Urais! Je, kuna sababu ya CHADEMA UNATAFUTA AU UNAKUSANYA MAONI?
 
Nikiitazama 2015 nawaonea huruma cdm kwani ndo mwisho wa mbwembwe zao.
1. Majimbo yatapungua.
2.urais ndoto.

hata ww huishi milele hapa duniani ni ndoto..nakuonea huruma
 
"Chama cha upinzani Tanzania ni kimoja tu Chadema" Dr.W. Slaa

funguka vizuri nahisi watu wamehack akaunti ya Ritz.
RITZ ninayemjua wa jf hawezi itaja CHADEMA halafu aiache bila dongo.MODS ATTENTION PLEEEASE!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom