kitu nilichogundua waganga na wachawi wengi wanaccm no wonder wanamchukia padre Slaa na waliosoma seminari,wataweza kuungana na ccm?Kama itatokea unaweza ukawa right ccm na cuf,maana cuf wanawachukia wapinzani wenzao ajabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.