Uchaguzi 2010

Uchaguzi 2010

Harrieth

New Member
Joined
Feb 28, 2009
Posts
1
Reaction score
0
Wa TZ tumuombe mwenyezi mungu uchaguzi wetu uwe wa uhuru na amani. Wote wenye nia mbaya washindwe. Tujiandae kumsindikiza Kikwete kwenda kuapishwa
 
Sijiandai hata kidogo, wala simsindikizi.
 
Wa TZ tumuombe mwenyezi mungu uchaguzi wetu uwe wa uhuru na amani. Wote wenye nia mbaya washindwe. Tujiandae kumsindikiza Kikwete kwenda Msoga

...... kumsindikiza kwenda Msoga .......
 
Huna haibu, Harrieth, Labda ukaibe kura. La sivyo jiunge nasi kumsindikiza shujaa, kiboko chao Dr halisi W.P.Silaa

qpijye.jpg
 
Wa TZ tumuombe mwenyezi mungu uchaguzi wetu uwe wa uhuru na amani. Wote wenye nia mbaya washindwe. Tujiandae kumsindikiza Kikwete kwenda kuapishwa

Kwanini Kikwete na Siyo yule atakayechaguliwa na wananchi?:A S-baby:
 
Taifa la Tanzania litaongozwa na Dr wa ukweli sio mafisadi tena, lazima tukubali mabadiliko. tumeichoka ccm
 
kikwete hafai kuwa rais wetu kwa vigezo vyovyote!! rais anakwenda hadharani akitafuna Big G!!!!!! mi nasema huyu si rais wangu tena kuanzia kesho nitakapo hamisha kura yangu kutoka ile niliyopiga 2005 na kumpigia Dk. Slaa
 
Wa TZ tumuombe mwenyezi mungu uchaguzi wetu uwe wa uhuru na amani. Wote wenye nia mbaya washindwe. Tujiandae kumsindikiza Kikwete kwenda kuapishwa

Napenda watu wakweli. Wasiokubali ukweli angalia majibu yao. Ila uhalisia ndiyo huo. Na tunmwomba JK asiwe na kinyongo na wapinzani wake.
 
Nimeshatua mjini. Bado nina uchovu wa kusumbuliwa njiani hapo uarabuni, ila kesho kura yangu ndani ya sanduku. JK safari njema, karibu WPS(PhD)
 
Back
Top Bottom