Wanajeshi wenyewe maonyesho yao ni kuvunja matofari kwa vichwa, kupigwa fimbo mpaka ikachanika ! hayo si maonyesho yanayotakiwa kufanywa na jeshi la kisasa. Wanajeshi wetu walinifurahisha sikumoja hapo makao makuu waliona mtu ameshika flopy disket wakamuuliza kwamba haitakiwi kushikwa na mtu wa kawaida isipokuwa wanajeshi tu ! yule jamaa aliwashangaa akawaambia hizi zinapatikana hata vichochoroni manzese wakabaki wameduwaa ! hawa ndo wanajeshi wetu!Hii inaonyesha jinsi jeshi letu lilivyolala usingizi wa pono, wakati technology kama GPS na GIS ndo zinatumika kwenye vita ya kisasa wenyewe wanavunja matofari kwa vichwa ! Mapigano ya sasa hivi hayatumii nguvu ya mwili, zaidi nguvu ya ubongo ndo inatakiwa.Sasa hii inaharalisha mawazo ya walo wengi kwamba jeshi sasa linahtaji commander in chief mpya atakayeweza kutoa new direction kwa jeshi, jeshi litakaloendana na wakati. having a new commander in chief is in the best interest of our military.