S/N | Name | Position |
---|---|---|
1 | Eng. S.S. Suleiman | Acting Director General |
2 | Mr. L.K.M. Mwigune | Director Human Resources and Administrator |
3 | Eng. Thomas Haule | Acting Director Regional Airports |
4 | Mr. Mosses S. Malaki | Director Julius Nyerere Int. Airpiort |
5 | Eng. George Sambali | Ag. Director Engineering and Technical Services |
6 | Mr. Daniel E. C. D. Msuya | Chief Internal Auditor |
7 | Mr. Mtengela Hanga | Head Procurement Management Unit. |
8 | Eng. Raphael W. Bokango | Advisor to Director General |
9 | Mr. Ramadhan A. Maleta | Legal Secretary |
10 | Mr. Cristom Manyologa | Chief Fire Officer |
11 | Eng. Mohamed Millanga | Chief Compliance Unity |
Mda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana.,ujinga ni nusu ya mautiHuu uwanja ulikuwa unaitwa DIA au Dar Es Salaam International Airport, hivi ni nani aliubadili jina akauita JKNIA?
Kama yupo hai basi ni mpumbavu na punguani. Alisikia au aliona wapi alichokianzisha Nyerere kikadumu?
Wewe ndiye mpumbavu na mjinga. Unamhusishaje Nyerere na kudumu kwa kitu!!! Tumia ubongo kufikiri badala ya mat....ko . Inawezekana una visa binafsi na Nyerere. Au wewe ni fisadi nini!!
TAA Management Team
S/N Name Position 1
Eng. S.S. Suleiman Acting Director General 2 Mr. L.K.M. Mwigune Director Human Resources and Administrator 3 Eng. Thomas Haule Acting Director Regional Airports 4
Mr. Mosses S. Malaki Director Julius Nyerere Int. Airpiort 5 Eng. George Sambali Ag. Director Engineering and Technical Services 6 Mr. Daniel E. C. D. Msuya Chief Internal Auditor 7 Mr. Mtengela Hanga Head Procurement Management Unit. 8 Eng. Raphael W. Bokango Advisor to Director General 9 Mr. Ramadhan A. Maleta Legal Secretary 10 Mr. Cristom Manyologa Chief Fire Officer 11 Eng. Mohamed Millanga Chief Compliance Unity
Tesha hayupo jamani..pale yupo Eng.Suleiman Suleiman...braza men flani ivi wa Kipemba!na JNIA palikuwa na Mama Makosi(?)..kuna mpya anaitwa Maleki(!?)
pia technolojia iliyotumika pale ni ya zamani kwa hiyo vifaa vingi havipo kwenye soko na mpango uliopo ni kubadilisha mfumo mpya hata mfumo wa viyoyozi ni hivo hivo kwa sasa imefungwa mitambo mipya na hali imebadilika na inaendelea kuibadilika.
Kuhusu idara nyingine za usalama wamesema wataitisha kikao. Hata hivyo hatuwezi sema Tesha ni lazy je mnataka awe kama Andendenye wa Polisi Arusha? Pia tukumbuke kuwa wakati TAA inaundwa hali ilikuwa mbaya zaidi na sasa hivi kumebadilika sana, tuwe wa kweli. Suluhisho kubwa ni kujenga terminal three ambayo wanasema wanamalizia design.
Mizigo mingi inayoonekana imeibwa ktk mabegi huibiwa huko inakotoka, umeshafanyika utafiti na kuweka mitego mingi kutumia mfumo wa kamera za matukio lakini imegundulika mizigo kama kamera, laptops na nyingine ni huko huko ndege inakotokea. Haya ni machache niliyoyapata baada ya kufuatilia ukweli wa haya yote. Utendaji mzuri haupimwi kwa kuyafanya kama ya Andendenye
Huu uwanja wa ndege wa Dar es salaam ni uwanja mchafu kuliko wote kusini mwa jangwa la sahara. Sijui kama kuna meneja wa uwanja huo , Sijali kama wanauita nani.Mheshimwa Kipara Kikubwa vyoo je, au navyo vimeagizwa?
Ilikuwa ni raha na Burudani Home walikuwa wakija wageni kutoka Bush lazima muwapeleke....Mtoa mada aeleze kinaganaga zaidi bila kueleza sana hisia na mtizamo wake ili wana JF tuweze kuamua. Swali hivi kwa nn TAA walizuia watu kwenda kule juu kucheki ndege kama zamani? ukweli ilikua picnic sana kwa watoto na jamii kuangalia "Take off" na approching
This man is in charge of Tanzania Airports Authority (last time I checked their website) and I'm not sure who is related to in the higher echelon lakini he doesnt care about YOU, ME, and VISITORS visiting Tanzania.
Can you believe that Airconditions inside Dar es salaam Intl Airport havent worked for 5 years?
Je mnaamini kuwa escalators za kuteremka wakati ndege imeingia na za kupanda wakati wageni wanaondoka have not worked for over 4 years?
Je mnajua ile conveyor belt ni mbovu na chances za kupoteza mizigo yenu ni kubwa kuliko hata uwanja wa ndege wa Dodoma?
Are you guys aware that toilets at DIA are flooded ni not only ni health risk kwa wateja bali pia kwa staff?
Are you aware kuwa the so called ANTI DRUG/USALAMA WA TAIFA/IMMIGRATION OFFICERS/ASKARI KANZU/ etc wanaokaa pale mlangoni kabla ya kutoka ni big embarrassment kwetu kama taifa? (sina haja ya kueleza what they do kwani kila anayeingia anajua how annoying those clown can be) apart from being smelly
CUSTOMS ambao wanafanya kazi as if they are in the 14th Century. This is un acceptable, huwezi ku go through mabegi ya watu kwa mikono namna ile eti kuangalia zawadi mpya wanazopelekewa watu...
TAA lazima waelewe kuwa priority yao kwetu ni CUSTOMER SERVICE and not otherwise and I urge this lazy CEO to get off his bum and make a trip to NAIROBI aone how those guys are running the airport.
I would rate this airport as the worst International Airport in the world! and please dont give me that ---- eti hawana pesa!
Word of advise to this C*** Aongee na wenzie wa TIC, AIRLINES, CUSTOMS/TRA, IMMIGRATION & SECURITY SERVICES on how well they could serve us without MATESO tunayoyapata na hasa wenzetu ambao ni WALEMAVU
Wanakimbilia new projects huku wanashindwa maintenance motivation ni 10pc commissionWameamua kujenga another terminal III ....huku terminal I & II wameshindwa kuzimanage inavyotakiwa.
Nimepitia haya maelezo na kwa kuwa pia ni mdau wa pale kama msafiri nilifuatilia kujua ukweli wa haya yote na niliyapata yafuatayo; Kwanza pale sasa hapaitwi DIA panaitwa JNIA.
Escalators nimeambiwa wameshaagiza zipo bandarini ila si sahihi kuwa ni miaka minne toka ziharibike. pia technolojia iliyotumika pale ni ya zamani kwa hiyo vifaa vingi havipo kwenye soko na mpango uliopo ni kubadilisha mfumo mpya hata mfumo wa viyoyozi ni hivo hivo kwa sasa imefungwa mitambo mipya na hali imebadilika na inaendelea kuibadilika.
Kuhusu idara nyingine za usalama wamesema wataitisha kikao. Hata hivyo hatuwezi sema Tesha ni lazy je mnataka awe kama Andendenye wa Polisi Arusha? Pia tukumbuke kuwa wakati TAA inaundwa hali ilikuwa mbaya zaidi na sasa hivi kumebadilika sana, tuwe wa kweli.
Suluhisho kubwa ni kujenga terminal three ambayo wanasema wanamalizia design. Pia ni chini ya tesha hali viwanja vya mikoa imeboreshwa na kwa sasa viwanja saba vitajengwa kwa kiwango cha lami ambavo ni Kigoma kubeba ndege kubwa na kitakuwa cha kimataifa, Tabora, Shinyanga, Dodoma kitajengwa kipya kikubwa, Songwe kitafunguliwa mwaka huu, Mafia ujenzi umeanza, Mpanda ujenzi umeanza.
Lazima watu mfahamu kuwa ujenzi wa kiwanja cha ndege garama zake ni karibu 1:15 ya barabara yaani kila km 1 ya barabara kwa bil 1unaweza tumia bil 15 kujenga tarmac ya RWY.
Pia wanasema mapungufu yapo hasa bajeti finyu na biashara ya usafiri wa anga yenyewe nchini si imara sana. Pia kiwanja kina idara nyingi wakati mwingine lawama zinatolewa kwa TAA lakini ni idara nyingine hata hivyo hatua zimekuwa zinachukuliwa mara kwa mara kurekebisha hali.
Mizigo mingi inayoonekana imeibwa ktk mabegi huibiwa huko inakotoka, umeshafanyika utafiti na kuweka mitego mingi kutumia mfumo wa kamera za matukio lakini imegundulika mizigo kama kamera, laptops na nyingine ni huko huko ndege inakotokea. Haya ni machache niliyoyapata baada ya kufuatilia ukweli wa haya yote.
Utendaji mzuri haupimwi kwa kuyafanya kama ya Andendenye