Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
This man is in charge of Tanzania Airports Authority (last time I checked their website) and I'm not sure who is related to in the higher echelon lakini he doesnt care about YOU, ME, and VISITORS visiting Tanzania.
Can you believe that Airconditions inside Dar es salaam Intl Airport havent worked for 5 years?
Je mnaamini kuwa escalators za kuteremka wakati ndege imeingia na za kupanda wakati wageni wanaondoka have not worked for over 4 years?
Je mnajua ile conveyor belt ni mbovu na chances za kupoteza mizigo yenu ni kubwa kuliko hata uwanja wa ndege wa Dodoma?
Are you guys aware that toilets at DIA are flooded ni not only ni health risk kwa wateja bali pia kwa staff?
Are you aware kuwa the so called ANTI DRUG/USALAMA WA TAIFA/IMMIGRATION OFFICERS/ASKARI KANZU/ etc wanaokaa pale mlangoni kabla ya kutoka ni big embarrassment kwetu kama taifa? (sina haja ya kueleza what they do kwani kila anayeingia anajua how annoying those clown can be) apart from being smelly
CUSTOMS ambao wanafanya kazi as if they are in the 14th Century. This is un acceptable, huwezi ku go through mabegi ya watu kwa mikono namna ile eti kuangalia zawadi mpya wanazopelekewa watu...
TAA lazima waelewe kuwa priority yao kwetu ni CUSTOMER SERVICE and not otherwise and I urge this lazy CEO to get off his bum and make a trip to NAIROBI aone how those guys are running the airport.
I would rate this airport as the worst International Airport in the world! and please dont give me that ---- eti hawana pesa!
Word of advise to this C*** Aongee na wenzie wa TIC, AIRLINES, CUSTOMS/TRA, IMMIGRATION & SECURITY SERVICES on how well they could serve us without MATESO tunayoyapata na hasa wenzetu ambao ni WALEMAVU
Can you believe that Airconditions inside Dar es salaam Intl Airport havent worked for 5 years?
Je mnaamini kuwa escalators za kuteremka wakati ndege imeingia na za kupanda wakati wageni wanaondoka have not worked for over 4 years?
Je mnajua ile conveyor belt ni mbovu na chances za kupoteza mizigo yenu ni kubwa kuliko hata uwanja wa ndege wa Dodoma?
Are you guys aware that toilets at DIA are flooded ni not only ni health risk kwa wateja bali pia kwa staff?
Are you aware kuwa the so called ANTI DRUG/USALAMA WA TAIFA/IMMIGRATION OFFICERS/ASKARI KANZU/ etc wanaokaa pale mlangoni kabla ya kutoka ni big embarrassment kwetu kama taifa? (sina haja ya kueleza what they do kwani kila anayeingia anajua how annoying those clown can be) apart from being smelly
CUSTOMS ambao wanafanya kazi as if they are in the 14th Century. This is un acceptable, huwezi ku go through mabegi ya watu kwa mikono namna ile eti kuangalia zawadi mpya wanazopelekewa watu...
TAA lazima waelewe kuwa priority yao kwetu ni CUSTOMER SERVICE and not otherwise and I urge this lazy CEO to get off his bum and make a trip to NAIROBI aone how those guys are running the airport.
I would rate this airport as the worst International Airport in the world! and please dont give me that ---- eti hawana pesa!
Word of advise to this C*** Aongee na wenzie wa TIC, AIRLINES, CUSTOMS/TRA, IMMIGRATION & SECURITY SERVICES on how well they could serve us without MATESO tunayoyapata na hasa wenzetu ambao ni WALEMAVU