Uchafu: Uwanja wa Ndege wa JNIA na Uongozi wa Eng. Prosper Tesha

Kama ni kuzibua vyoo, kusafisha vyoo, kujenga vyoo njooni nyie wenye "vision" za Ughaibuni mtekeleze siyo kulialia tu bila mpango. Mlivyoondoka JKNA wala hamkuwa na muda wa kulalamika kwa azma yenu ilivyikuwa kubwa ya kukwea pipa na "kuukata". Sasa mmekaa Ughaibuni mwaka mmoja au sijui miezi mingapi, kelele kibao sababu kasumba zimewajaa. Halafu utakuta wengi wenu huko Ughaibuni si zaidi wala so chochote bali ni wasafisha vyoo tuu. Sasa mkirudi vijijini kwenu sijui mtamlalamikia nani kuhusu uvundo wa vyoo vya mashimo?

You sound like an individual who has lost the hope of life, a person who failed by your moral judgement and attitudes, tunazungumzia maendeleo ya nchi unakuja na habari yenye chuki ambayo i suppose you even don't deserve to be called a great thinker to me! sorry! yarkk!
 
Kama ni kuzibua vyoo, kusafisha vyoo, kujenga vyoo njooni nyie wenye "vision" za Ughaibuni mtekeleze siyo kulialia tu bila mpango. Mlivyoondoka JKNA wala hamkuwa na muda wa kulalamika kwa azma yenu ilivyikuwa kubwa ya kukwea pipa na "kuukata". Sasa mmekaa Ughaibuni mwaka mmoja au sijui miezi mingapi, kelele kibao sababu kasumba zimewajaa. Halafu utakuta wengi wenu huko Ughaibuni si zaidi wala so chochote bali ni wasafisha vyoo tuu. Sasa mkirudi vijijini kwenu sijui mtamlalamikia nani kuhusu uvundo wa vyoo vya mashimo?

Nadhani miaka 3 au 4 iliyopita nilitoa offer ya ku-analyse for free jinsi ya kusaidia kutengeneza ventilation system ya hiyo Airport (assuming there is electricity 24hrs a day). Nilipotoa wazo, the powers that be badala ya kuchukua initiative wakaniambia ukienda Tanzania kawaone airport tutakwambia ukamwone nani (now, I am offering my skills for free and you are telling me to follow up?). Mawasiliano na management hawakujibu e-mail. Hapo hapo nikaambiwa kwanza haina haja, wachina wanakuja kuchukua Airport inatengenezwa upya....years down the line, tuko pale pale.
Nakumbuka hii ishu tulishawahi kudiscuss humu na kina Kitila Mkumbo miaka kadhaa imepita, tena akasema Chadema wakishikilia nchi watatafuta talent iliyo nje ya nchi kusaidia kuendeleza. Naona itabidi tusubiri sana!!

Sasa we kijana, usitukane watu walio nje ya nchi, kuna kila aina ya talent zimezagaa. We lambwa vumbi na vumilia kukatiwa umeme kwa uvivu wenu wa kufikiri kudadeki na li-aiport litabaki kunuka!
 
Mtoa mada aeleze kinaganaga zaidi bila kueleza sana hisia na mtizamo wake ili wana JF tuweze kuamua. Swali hivi kwa nn TAA walizuia watu kwenda kule juu kucheki ndege kama zamani? ukweli ilikua picnic sana kwa watoto na jamii kuangalia "Take off" na approching
 
Tatizo ni uongozi wa Airport, usafi kwao si priority. Unless upatikane uongozi mpya ambao unakerwa na hilo otherwise Tesha na wenzie wapo wapo tu kama hawapo. Siku wakitoka madarakani wakaenda kujisaidia vyoo vya public hapo airport nao wataanza kusema jamani airport kuchafu kweli bila hata iabu
 
Nadhani miaka 3 au 4 iliyopita nilitoa offer ya ku-analyse for free jinsi ya kusaidia kutengeneza ventilation system ya hiyo Airport (assuming there is electricity 24hrs a day). Nilipotoa wazo, the powers that be badala ya kuchukua initiative wakaniambia ukienda Tanzania kawaone airport tutakwambia ukamwone nani (now, I am offering my skills for free and you are telling me to follow up?). Mawasiliano na management hawakujibu e-mail. Hapo hapo nikaambiwa kwanza haina haja, wachina wanakuja kuchukua Airport inatengenezwa upya....years down the line, tuko pale pale.
Nakumbuka hii ishu tulishawahi kudiscuss humu na kina Kitila Mkumbo miaka kadhaa imepita, tena akasema Chadema wakishikilia nchi watatafuta talent iliyo nje ya nchi kusaidia kuendeleza. Naona itabidi tusubiri sana!!

Sasa we kijana, usitukane watu walio nje ya nchi, kuna kila aina ya talent zimezagaa. We lambwa vumbi na vumilia kukatiwa umeme kwa uvivu wenu wa kufikiri kudadeki na li-aiport litabaki kunuka!

Wachina wanakuja kujenga airport mpya. Tuliza boli.
 
Michuzi kashaingia kwenye bandwagon

som anavyolalamika hapa

21.jpg




MICHUZI: yale yaleeeee....
 
Can julius nyerere international airport become a hub? 2007!!

I know this might cause a furor amongst aviation zealots. Patriotism aside, let us face it. We are not yet near seeing Julius Nyerere International Airport (JNIA) become a hub. Not in the short to medium term. It is easier said than done. Last week we saw that there are certain conditions precedent to be attained for an airport to become a hub. These include the critical mass in terms of traffic movements through an airport and the seamless and effective connectivity in terms of time efficacy at the airport in question.

But equally important is the airport and ancillary infrastructure to support and sustain that particular hub. For instance, a hub airport needs enough runways to be able to handle as many aircraft ladings and take offs especially during the peak periods. That is why the planned second runway at JNIA is very important both in terms of capacity building and emergency cases. Also important are the terminal facilities that can cope with traffic volumes both passing and transiting through the hub. These include civil aviation navigational facilities, aircraft parking space, passenger and baggage handling facilities, resting lounges for transit passengers, duty free shopping space, aircraft ground handling facilities and a passenger user-friendly environment.

The ancillary infrastructure in this context include good and affordable hotel accommodation within the airport proximity, efficient road network and last but not least security. These are some of the factors which airlines take into account before taking a decision to fly to a destination. Normally an airline sends an advance team to access the situation on the ground and see if the chosen destination has adequate accommodation for crew and emergency situations in case of a technical layover for passengers. Easy accessibility to the airport also plays a crucial part in determining the suitability of the destination because traffic jams can be a menace as far as on-time-performance goes and of course security of the airport and the country in general can make or break the airport's perception.

It is quite obvious from the foregoing that JNIA is still lacking in many respects. For example, suppose there was a windfall of traffic to double from the current through put traffic of 1.5 million passengers (ball pack figure) to 3.0 million per annum (currently JKIA stands at 4.5 million). JNIA would be completely choked up! The airport would suddenly become a sight of long queues at check-in and check-out counters let alone congestion within the passenger holding areas and crammed aircraft in a parking area. All these factors militate against JNIA maturing into hub at least in the short to medium term but more particularly because of its proximity to Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) in Nairobi, due to the following factors.

First, JKIA is already a fully fledged hub of East Africa thanks to Kenya Airways (KQ) and other foreign international airlines. At the moment JKIA is like a powerful "magnet" attracting all sorts of traffic from almost all corners around Africa through Nairobi such that it will be a monumental task for JNIA to set up an equally competing "magnet" to counter JKIA. Theoretically yes, but practically it is a very tall order indeed. Let us remember that it has taken many years of dedication and perseverance for KQ ( and Ethiopian Airlines) to be where it is especially in terms of networking Africa. Also KQ's strategic partnership with KLM Dutch Airlines was well thought out and carefully executed hence beneficial and a catalyst to KQ's JKIA hub strategy.

Second, JKIA already has a head start in terms of attracting many foreign airlines into Nairobi as a destination compared to JNIA. Because Nairobi has much superior aviation facilitation than Dar Es Salaam, many airlines have already taken the decision to set camp in Nairobi instead of Dar Es Salaam. Examples abound. Air Mauritius, Air Madagascar, Bellview Air, Air Sudan, Virgin Atlantic Airways and Saudia all have online operations into JKIA and seem contented to feed into and out of Nairobi therefore it is very unlikely that they will change their position anytime soon unless something dramatic takes place. In addition JKIA has become a distribution centre for many cargo flights into East and Central Africa. Emirates Cargo, Ethiad Cargo, Air France Cargo, MK, Maersk Cargo, Lufthansa Cargo and Martinair have flights into JKIA which makes it a beehive of activities compared to JNIA and Entebbe International Airport (EIA). Let us take cognizance of the fact that it is a herculean task to convince even some of these airlines to relocate from Nairobi to Dar Es Salaam which is only a few air kilometers away. Not in the current state of our beloved city of the haven of piece.

Third, because of its economies of scale, JKIA is a cost competitive airport to operate from compared to its neighbouring airports of JNIA and EIA. Take for example the ground handling services. Whereas JKIA has more than three ground handling companies EIA has only two while JNIA has effectively one namely Swissport Company, a virtual monopoly with very little room for maneuver when it comes to pricing . Despite being on the Indian Ocean port of Dar Es Salaam, the price of jet fuel JNIA is USD 0.756 per litre (VAT exempted) compared to USD 0. 686 per litre found at JKIA right in the hinterland of Kenya! The same applies for airport departure taxes. Nairobi stands at USD 20 per ticket for an adult person while Dar Es Salaam is at USD 30 per ticket for an adult. This is not only a turn off to foreign airlines which may wish to start operations at JNIA but also a deterrent to would be passengers because JNIA is an expensive airport to start a flight journey from compared to JKIA.

Finally, Nairobi is endowed with many International organizations. For example, the headquarters of United Nations-HABITAT is based in Nairobi. HABITAT and many others coupled with the superior economy of Kenya give Nairobi City a big boast as opposed to neighbouring cities of Dar Es Salaam and Kampala in terms of traffic generation thus making JKIA a much more active and lively airport than its competitors. Admittedly these advantages are not about to go away. At least not in the near future. But of more importance is the fact that KQ as a national airline of Kenya has remained focused on making JKIA a hub of East Africa and the Government is firmly behind this strategy.

It is from this perspective that the writer is of the strong view point that JNIA has a very long way to go before it can really catch up with JKIA let alone provide formidable competition. To achieve this monumental task the economic planners need to take a holistic or multi-disciplinary approach encompassing aviation, infrastructure, tourism and leisure sectors. This can only be realized if everyone plays his part lest JNIA will continue to play second fiddle to JKIA for a very long time.

https://www.jamiiforums.com/business-...ome-a-hub.html
Byase Luteke
 
Jana nimeenda kumpokea mtu jioni pale nimekuta kuna wale wapuuzi mlangoni

Inawezekana ikawa huyu NUNDU ndiye anayemlea TESA na mediocres waliojazana pale DIA (sipendi kutumia JKIA)
 
Kama haya bado hayajawa rectified tutaona ndege nyingi zikisepa kuja Dar.
 
Utendaji mzuri haupimwi kwa kuyafanya kama ya Andendenye [/FONT]
hapana hapana mleta uzi ana hoja ya msingi , usijaribu kumuingiza mtu mwingine eti ANDENGENYE wa Arusha, jibu hoja za mleta uzi tu. Kisha lete wako kuhusiana na huyo uliyemtaja.

Viongozi wetu kama wangekuwa ni wazalendo wa kweli basi walau kidogo uongozi wao ungefanana na jinsi wanavyoongoza familia zao, maana utaona familia zao ziko vizuri saana lkn ofisi au sehemu wanazoongoza ziko hovyooooooo.

Katka hili ndani ya maelezo yako ya fumbo mfumbie mjinga nakuuliza jambo moja tu: KWANINI SCREEN ZA MATANGAZO HAZIFANYI KAZI? KIASI CHA KUWAFANYA WATU KUANGALIA ANGANI KAMA NDEGE INAINGIA AU INAONDOKA.
 
Jamani tuwe wakweli, kwa sisi tuliobahatika kusafiri kwenye nchi za watu hakika tunapata hata kichefuchefu tunarejea nyumbani kupitia kwenye uwanja wa ndege dar. Generally, uwanja ni mchaefu, kuta zina buibui, vyoo mara kwa mara vinakosa maji, taratibu za kuboard zipo hovyo, watumishi wake siyo customer oriented. Yaani matatizo matupu!! Hivi jk na viongozi wenzie hawayaoni hayo??????? Wanachoona wao ni dowans tu!

Wanapita VIP lounge hawaoni hayo madudu.
 
Huyu tesha mnamtajataja mbona mnamuonea?hayupo mwaka wa pili sasa,tufanye uchunguzi kabla ya kuandika
 
Tesha hayupo jamani..pale yupo Eng.Suleiman Suleiman...braza men flani ivi wa Kipemba!na JNIA palikuwa na Mama Makosi(?)..kuna mpya anaitwa Maleki(!?)
 
Tesha hayupo jamani..pale yupo Eng.Suleiman Suleiman...braza men flani ivi wa Kipemba!na JNIA palikuwa na Mama Makosi(?)..kuna mpya JNIA anaitwa Maleki(!?)
 
Back
Top Bottom