Uchafu ni kipaji pia!

Uchafu ni kipaji pia!

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
27,494
Reaction score
55,130
Wasalam wakuu..
Katika kipindi hiki cha mvua hapa dasalam na hata mikoa mingine tujitahidi kuwa wasafi.

Magonjwa ya milipuko kama kipindu pindu ndio yanaanziaga hapa.

Kwa wale wenzangu wa nyumba za kupanga uswazi na zenye mchanganyiko wa wa watumbali mbali tujitahidi kuhimizana kuhusu usafi.

Japo usafi na uchafu wa mtu ni kipaji ila tusichoke kukumbushana.

Kwa mwanaume uchafu is not big deal ila kwa mwanamke is too dangerous.

Niende direct sasa. Wakuu hivi unawezaje kumwambia mtu kuwa ni mchafu an unaanzaje. Unakuta ni mdada ila hana ile inaitwa personal hygiene kuanzia mazingira yake anayolala na yanayomzunguka..

Unawezaje kumwelekeza mdada kama huyu ambaye anategemea kuitwa mama watoto mda flani kuwa uchafu wako choma moto sio kuuweka unazagaa zagaa hovyo..

Wakuu unawezaje kumrekebisha mtu kama huyu ambaye kwake kuoga ni kipengele, ni wa kike ujue.

Mtu kama unamshauri vipi na unajua uki mface ni mziki mwingine. Sijaingilia life la mtu ila kuna kitu kinaitwa kero.

Kero kwa majirani na jamii inayomzunguka.....

Wazazi na walezi tujitahidi kuwalewa watoto wetu hasa wa kike katika mazingira ya kujitegemea hii ipo sana au baadhi kwa hawa wenzetu wenye uwezo. Unakuta mtoto anafikia teenage lakini mambo muhimu kuhusu personal hygiene hayajui... (Sijui shuleni wanalambaga kamasi mda wenzao wanasoma biology).

Just imagine mdada tena wa chuo degree tajer kabisa anatoka nje anaitwa pisi kali ila kwenye usafi ni shameless... Hii imekaaje mtu kama huyu una mshauri vipi wakuu....???
 
Muoneshe wazi kuwa uchafu hupend Yani ukikuta kitu kwake ovyo toa katupe wewe kuwa smart kias ajishtukie hata kuongozana na wewe
Akiwa mbishi tia makonzi 😀😀😀
Nimefanya sana mpaka nachoka sasa an..
Just imagine mpaka natafuta wenzake waongee nae ila wapi..

Kila unalomuelekeza yeye analeta ushua mwingi...
 
Nimefanya sana mpaka nachoka sasa an..
Just imagine mpaka natafuta wenzake waongee nae ila wapi..

Kila unalomuelekeza yeye analeta ushua mwingi...
Huyo kiboko mkalishe chini mwambie wazi Tena usipindishe maneno hata kidogo usimuonee aibu kabisa na mwambie hakuna kununa Wala kuachana ila habari ndo hiyo acha uchafu 😂😂😂japo mm nilimwambia mwenzangu ana harufu mbaya mdomoni na haikuwa kawaida yake sijui alikula nn niliropoka aisee hajawah sahau had tukaachana najitahid nowadays nachagua watu smart kuanzia mwili had roho 😂😂😃
 
Huyo kiboko mkalishe chini mwambie wazi Tena usipindishe maneno hata kidogo usimuonee aibu kabisa na mwambie hakuna kununa Wala kuachana ila habari ndo hiyo acha uchafu 😂😂😂japo mm nilimwambia mwenzangu ana harufu mbaya mdomoni na haikuwa kawaida yake sijui alikula nn niliropoka aisee hajawah sahau had tukaachana najitahid nowadays nachagua watu smart kuanzia mwili had roho 😂😂😃
😂😂😂😂😂Ukimuona njee huku weee unasema demu si huyu bana..

Kumbe ndani shida tupu.. kumwambia sasa nimechoka ila sasa nataka ni deal nae saikolojically an

Sema ni aibu sana aiseee bora iwe kwa JUma au abdllah aisee
 
Back
Top Bottom