Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Nishaacha kunywa hizi soda nina mwaka sasa. Maana zimejaa sukari za kemiko
Usifananishe kahawa na vitu vya kipumbavu.Poleni wapenda soda!
Karibuni kwenye kahawa.
HahaaUsifananishe kahawa na vitu vya kipumbavu.
Hizi ni biashara za watu,kuharibu brand yake kunaweza kukupeleka mahakamani na ukatoe ushahidi,kuthibitisha madai yako.
Ogopa sana kucheza na masrahi na biashara za watu
Hakijafunguliwa maana soda nauza mwenyewe. Na hii ni mara ya piliSina uhakika Kama kizibo hakikufunguliwa
Basi pepsi kwa huku kaskazini wamefeli, kwanza soda coke ya kaskazini ina ladha sio kitoto, maji hayana chumvi chumvi ni matamu balaa, ni kama yalivyo tu maji ya Kilimanjaro yalivyo na tasteCocacola hapa Mwanza tayari wamekwishazidiwa na Pepsi cola. Magari mengi ya Coca Cola tayari yameegeshwa kwa kukosa wateja.
Cocacola hapa Mwanza tayari wamekwishazidiwa na Pepsi cola. Magari mengi ya Coca Cola tayari yameegeshwa kwa kukosa wateja.
Basi pepsi kwa huku kaskazini wamefeli, kwanza soda coke ya kaskazini ina ladha sio kitoto, maji hayana chumvi chumvi ni matamu balaa, ni kama yalivyo tu maji ya Kilimanjaro yalivyo na taste
Sent using Jamii Forums mobile app
Na pombe sinywi piaPombe chupa zake zilivyo utaona uchafu kweli, huwa tunakunywa tu hata mauchafu
Sent using Jamii Forums mobile app
sureHilo ni Onyo kwa wapenda kunywea gizani
Hayo mambo yako huko kwenu kanda ya ziwana saiz kuna tatizo kubwa sana tena sana chupa zao zimechoka kwel kweli yaan ukifungua tu unakuta imevunjika mdomon ad naogopa. heri wangekuwabwanatuuzia kwenye vikombe
Sio coca tuu.. Hata pepsi wanamachupa mabovu mabovu yamechoka ukifungua tu yanasagika ad uchuje na shatiHayo mambo yako huko kwenu kanda ya ziwa
Kaskazini coke ni mubashara kwa ajili ya uchanjaji