Ubunifu wa kampeni za UKAWA kupitia CHADEMA

Ubunifu wa kampeni za UKAWA kupitia CHADEMA

palalisote

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2010
Posts
8,335
Reaction score
1,463
CNWR_qsWIAAy5ny.jpg
CNWBq3NWUAAiyAU.jpg
 
Ccm tumethilubutu na tunaweza.. tunayajua matatizo ya Watanzania tulianza kuyatatua na tunaendelea kuyatatua.. Ccm oyeee
 
Halafu ambacho pia magambaz hawakijui ni kwamba wapo wapiga kura wengine watapiga kura kutokana na vengeance walizonazo dhidi ya CCM kutokana na social and economic degradation iliyopo nchini kwa hiyo wafanye wafanyavyo adhabu iko pale pale.
 
wakati wao wanang'ang'ana na style yao ya kizamani ya kugawa khanga chakavu , UKAWA MAMBO MAPYA !
 
Ama kweli wao wanajua hili cc tuna jua hili wakija kujua tunalojua cc tunaruka.
By Mwinyi,
Sasa mwaka huu ccm jiandaeni kuwa apinzani bungeni
 
wacha wee!!!. Naona ukawa imekugusa sana.. Tutaonana sku tatu baada ya 25 oct

nadhani sasa umeamini kwamba KYELA inapata mbunge mpya aitwaye Mh Mwanyamaki , nilitoa angalizo mapema ili msije mkapata visukari vya ghafla .
 
Back
Top Bottom