Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Mku kwani kunakitu gani cha ziada hapo? Young_Master?ha ha haaaa!!! Duh!!! hii labda iliwe chumbani lakini sio mbele ya watoto
Mku kwani kunakitu gani cha ziada hapo? Young_Master?
Kitoweo sio waheshimiwa hao chakula hicho hakuna mambo ya uchi hapo..... Young_MasterSi unaona waheshimiwa wapo uchi hao?
Ndio majogoo hayo yanangojea kuliwa tu karibu tufutari Mbuzi Mzee...................Mkuu naona kuku wa jinsia moja. Je hao ni wa Kienyeji au?
Jinsia tofauti hizo mkuu; sema wengine hapo ni mashoga!Mkuu naona kuku wa jinsia moja. Je hao ni wa Kienyeji au?
tatizo ni kwamba unaweza kula huku willbert amesimama.Ubunifu safi sana huu, unaongeza hamu ya kula!
Mi si wa hivyo Mkuu, mbona wako wengi wa ukweli ukweli!tatizo ni kwamba unaweza kula huku willbert amesimama.
Karibu unakaribishwa bibie wote hao ni majogoo ila wamevishwa chupi (limau) na Sidiria karibu njoo tule mwaJMziziMkavu mbona hakuna jogoo? Kama ndio hivyo mie sili!