Ubunifu Maridadi Foundation

JohnBruddatz

Member
Mar 27, 2016
8
0
Tunaitwa Ubunifu Maridadi Foundation kutoka Songea, Ruvuma, Tanzania, Ni foundation ya Kibunifu yenyekujiendesha Yenyewe Ikiwa katika Faundation Yetu Ni bunifu hivyo lengo na dhamira ni kutafuta wabunifu wote Tanzania na kuwaweka pamoja,Lakin uwezo wa kulitimiza hilo kw vitendo ni mdogo hivyo hufanya kile kilicho ndani ya uwezo wetu ili kuyafikia malengo Makubwa zaidi, Ubunifu Maridadi Fondation tumeanza Na hii Kupitia kipaji cha mtunzi wa stori,script writer, na wengineo tukimaanisha kwamba vijana wenye juzi/fani mbalimbali
+255719072620 Facebookpage-ubunifu Maridadi, twitter-Ubunifu Maridadi,
http://ubunifumaridadi.blogspot.com
Sapoti yenu muhimu katika kuhakikisha ndoto ya kila kijana mbunifu inatimia kupitia ubunifu wake
1797604_1667020180229623_1070364806642166359_n.jpg
 
Sasa hapa mmebuni nini au mimi ndo sijui maana ya kubuni?


All in all congratulations
Ubunifu maridadi Foundation inausika na ubunifu na wabunifu mbali mbali, imejumuisha sanaa aina zote kikubwa mwana sanaa awe mbunifu kuleta kitu cha utofauti,
na hii ni cover ya movie ambayo moja ya vijana mwenye uwezo wa kutunga stor katunga na wenye vipaji ya kuigiza wameigiza ndani yake
 
Back
Top Bottom