Ubungo na Kawe kuwaka moto Oktoba

Ubungo na Kawe kuwaka moto Oktoba

Mzee Tupatupa......njia yako ya kufanya utafiti inaweza isikupe matokeo mazuri,njia nzuri ingia FIELD upinge kambi kama wiki na maswali yako ya ki utafiti yawe hasi kwa wagombea wa upinzani.Lakini chukuwa tahadhari.
 
Uzuri wananchi wameshaamua. Ubabe wa kuchakachua Rasimu ya Warioba CCM mtaula wa chuya! Haima na Mnyikani Majembe hata nyie mnajua! Watakaochuana nao watakuwa wasindikizaji. Sera mbovu za elimu na afya na kilimo zimetufanya tukate tamaa na CCM. Ufisdi EPA, ESCROW, RICHMOND hivi mtajielezaje kwa wananchi?

KURA YA MAONI NI HAPANA NA OKTOBA KURA KWA CDM/UKAWA
 
Mmmh!! Sidhani kama CCM wanaweza kurudisha majimbo ya Kawe na Ubunge. Kwanini? Mpaka sasa hata haijulikani nani ndani ya CCM anayeweza kusimama kugombea.
 
CCM watakufa kwa pressure kama kweli wana malengo hayo.

Mpaka sasa jimbo ambalo wanaweza kushinda CCM DSM ni jimbo moja tu Ilala.

CCM badala ya kukomboa hayo majimbo mawili, itazidi kupoteza majimbo mengi zaidi. Mark my my words
 
"CCM ijiandei kisaikolojia kuwa chama cha Upinzani" - hii si kauli yangu bali ya Mweyekiti wa chama chao Taifa.
 
Wakazi wa ubungo wanajua thamani ya John Mnyika awapo bungeni, jimboni na sehemu yoyote inayohusu uwakilishi, halafu maeneo hayo watu hawajahongwa nyumba za nhc kama ilivyo ilala na kinondoni.

Ubungo wananchi wamejijengea nyumba wao wenyewe, hakuna mwenye nidhamu ya woga hata mmoja.

Pole sana mzee Tupatupa, waambie lumumba kuwa mikakati yao inafanana na mipango ya kumtahiri paka.
KWA SABABU WEWE NI MANGI NI LAZIMA UJIAPIZE HIVYO UJIAPIZAVYO LAKINI ukweli kuhusu jimbo la ubungo na wakazi wake tunaujui sisi wakazi wa jimbo husika.
-wakati nchi nzima na majimbo yoote ya DSM barabara zikijengwa, ubungo imetelekezwa
-wakati wentezu wakiendelea kufurahia kupanuka kwa huduma za maji katika majimbo yao, sisi ubungo tumetelekezwa
- wakati wawakilishi wa majimbo mengine ya dsm wakiongelea wananchi wao wanliowapigia kura ili kuwawakilisha, Mnyika yuko busy na mabo yasiyo na tija kwa wanaubungo.
labda niwaambie kitu'' SOMEONE WHO KNOWS EVERYTHING IS EXPERT OF NOTHING''' na ndivyo alivyo mbunge wetu. anajifanya mjuzi mnooo wakati ni mbumbumbu mpuuzi tuu.
-jeuri,kiburi,majivuno na kukosa heshima kwa viongozi wa serikali kumesababisha jimbo la ubungo kuwa nyuma kimaendeleo katika miaka mitano iliyopita. imezidiwa hata na majimbo yenye watu wa tabaka la chini????
iwe jua ama mvua....... MNYIKA HAWEZI KURUDI BUNGENI. HATA KAMA AKINA MANGI MTAANDAMANA UTUPU.
kwa HALIMA MDEE siwezi kutia neno kwani kazi zake zimeonekana at least
 
KWA SABABU WEWE NI MANGI NI LAZIMA UJIAPIZE HIVYO UJIAPIZAVYO LAKINI ukweli kuhusu jimbo la ubungo na wakazi wake tunaujui sisi wakazi wa jimbo husika.
-wakati nchi nzima na majimbo yoote ya DSM barabara zikijengwa, ubungo imetelekezwa
-wakati wentezu wakiendelea kufurahia kupanuka kwa huduma za maji katika majimbo yao, sisi ubungo tumetelekezwa
- wakati wawakilishi wa majimbo mengine ya dsm wakiongelea wananchi wao wanliowapigia kura ili kuwawakilisha, Mnyika yuko busy na mabo yasiyo na tija kwa wanaubungo.
labda niwaambie kitu'' SOMEONE WHO KNOWS EVERYTHING IS EXPERT OF NOTHING''' na ndivyo alivyo mbunge wetu. anajifanya mjuzi mnooo wakati ni mbumbumbu mpuuzi tuu.
-jeuri,kiburi,majivuno na kukosa heshima kwa viongozi wa serikali kumesababisha jimbo la ubungo kuwa nyuma kimaendeleo katika miaka mitano iliyopita. imezidiwa hata na majimbo yenye watu wa tabaka la chini????
iwe jua ama mvua....... MNYIKA HAWEZI KURUDI BUNGENI. HATA KAMA AKINA MANGI MTAANDAMANA UTUPU.
kwa HALIMA MDEE siwezi kutia neno kwani kazi zake zimeonekana at least

Kama uliangalia bunge jana usiku ndio utaijua thamani ya JOHN MNYIKA. kutokupeleka maji ubungo hilo ni kosa la serikali na chama tawala kwa kutukomoa kisa tumechagua mbunge kutoka chama cha upinzani.

Ccm imeonyesha kuwa haina uwezo wa kusimamia utekelezaji wa ilani yake kwa taifa.

Anayekwenda kujaribu kupambana na Mnyika ubungo atafilisika ajute kuzaliwa.
 
CCM watakufa kwa pressure kama kweli wana malengo hayo.

Mpaka sasa jimbo ambalo wanaweza kushinda CCM DSM ni jimbo moja tu Ilala.

CCM badala ya kukomboa hayo majimbo mawili, itazidi kupoteza majimbo mengi zaidi. Mark my my words
hahahahaaaaaaaa. bangi za ufipa zikiisha utajua ulikuwa unajidanganya
 
Wakazi wa ubungo wanajua thamani ya John Mnyika awapo bungeni, jimboni na sehemu yoyote inayohusu uwakilishi, halafu maeneo hayo watu hawajahongwa nyumba za nhc kama ilivyo ilala na kinondoni.

Ubungo wananchi wamejijengea nyumba wao wenyewe, hakuna mwenye nidhamu ya woga hata mmoja.

Pole sana mzee Tupatupa, waambie lumumba kuwa mikakati yao inafanana na mipango ya kumtahiri paka.


Watu mna maneno duh!!!! ila nimeyapenda
 
Ukawa wakisimamisha kuku na CCM wakisimamisha Riziwani. Basi kuku atashinda kwa kishindo. Sijaona wa kumtoa mnyika ubungo.
 
Back
Top Bottom