Ubungo, Dar: Ubomoaji jengo la TANESCO waanza

Ni ajabu waziri kujenga jengo lake kwenye road reserve.. Huo ni ufisadi tosha
Pia hayo mabilioni ameyatoa wapi
Akili zako ndogo, eti waziri kujenga jengo lake mwenyewe huo ni ufisadi, unaendelea mbele eti mabilioni ameyatoa wapi. Maswàli mepesi kabisa hayo, tena hayana hata mashiko. Watanzania tumelala sana, tena waongo kupita kiasi. Ndio maana hatunà mwisho mzuri katika maisha yetu. Simu imeisha chaji nitarudi baadae.
 
aiseee.Okay.Kwa hio ndio maana lilijengwa kwenye road reserve?

libomolewe tu.Lowasa Fisadi sana.Nilikuwa najiuliza ..how come serikali ijenge kwenye road reserve..kumbe ni mwizi Lowasa

wabomoe haraka sana
Vijana wasipopewa ajira tusimlaumu sana yule baba ubaya

Angalia akili za huyu pimbi sio kwenda kuharibu utendaji kweli
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA KWA UMMA

Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unawafahamisha Wateja wake wote na Wananchi kwa ujumla kuwa;

TANESCO imeanza utekelezaji wa Agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli, kuhusu kubomolewa kwa Jengo la Ofisi za TANESCO Makao Makuu, liliopo Ubungo Jijini Dar es salam.

Kuanzia Jumatatu Novemba 27, 2017. Ukuta wa mbele ya jengo umesha vunjwa , pia baadhi ya Watumishi wa Shirika wameanza kuhamishiwa katika Ofisi nyingine za TANESCO zilizopo jijini Dar es salaam ili kupisha shughuli za ubomoaji kufanyika kwa usalama zaidi.

Uongozi wa Shirika pamoja na Wakala wa Majengo (TBA) wanaendelea kufanya taratibu zitakazo wezesha zoezi la ubomoaji wa Jengo kufanyika bila kuathiri huduma kwa Wateja wa Shirika.

Katika kipindi hiki cha utekelezaji wa Agizo la Mheshimiwa Rais. Tunapenda kuwahakikishia Wateja wetu na Watanzania wote kwa ujumla kuwa Huduma za Umeme zitaendelea kupatikana kama kawaida ikiwemo huduma ya manunuzi ya LUKU.

Uongozi wa Shirika utaendelea kutoa taarifa kwa kadri zoezi hili linavyo endelea,

TANESCO ‘‘Tunayaangaza Maisha yako’’

Kwa mawasiliano

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii

www.facebook/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa Na: OFISI YA UHUSIANO
TANESCO- MAKAO MAKUU.

Novemba 27, 2017
Asante Mkuu kwa kutujuza, hakika sheria ni msumeno. Hongera JPM kwa uongozi wako uliotukuka. Hakika hakuna kama wewe
 
kilichonishangaza eti hawakupewa taarifa kile kijumba cha walinzi pale getin kinabomolewa ndo walinzi wanaanza kuokoa vitu vyao wabomoaji wana hasira cjiu waligombezwa na mkulu asubuh
 
Kama walioshtakiwa ndio wezi na mafisadi wa nchi hii basi hii nchi haina wezi na mafisadi maana kwa walioshtakiwa na kukutwa na hatia ni wachache sana.
Kushtakiwa na kuwa fisadi na mwizi ni vitu viwili tofauti na sheria na haki pia ni vitu viwili tofauti.
Kweli wanasiasa mnashida sana yaani unaona madudu ya serikali halafu unawaondoa hao viongozi eti hawahusiki labda uwe unatatizo la akili.
Labda unambie ufisadi huwa unafanyika hewani bila watu kushiriki.
Hakuna viongizi wa ngazi ya juu serikalini walio wasafi 100% awe amehama CCM awe hajahama mimi bado nawaona wanakesi ya kujibu kwetu watanzania.
Wasitwambie tukawashtaki ili mahakama zifuate sheria tunataka haki na haki haipatikani mahakamani kwa kuwa haki na sheria haziko pamoja.
Ndugu unahitaji deliverance,inaonekana neno justice kwako ni msamiati mpya kwako.Katika utawala wa Sheria utadhan haki inapatikana kwenye makelele ya mtaani na kutuhumu tuu? Kwa taarifa yako haki zote zinapatikana katika tamko la haki za binadamu,tamko hili liko kwenye katiba yetu,ibara ya 12 had 24.Hata haki za watuhumiwa zipo ibara ya 13.Sasa wewe hizo haki ambayo haziendani na Sheria zinapatikana vipi? Ndugu safari yako ni ndefu,sheria ndo inatoa haki acha na na maneno ya kiimani ya siyo n amashiko.Kumuingilia mwana mke kwa nguvu kunatofautiana,hapa kwetu kama ni mkeo huwezi hukumiwa kwa kubaka,Uingereza unahukumiwa kwa kubaka.Hakuna haki Bila haki hiyo kulindwa na Sheria.Ninachopinga Mimi ni kukaa mnatuhumu watu Bila kupeleka mashtaka kwenye vyombo vinavyotoa haki.Otherwise ni innuendo,slander,nk.Huo ni upuuzi tu,kama unataka haki nenda mahakamani.
 
Unamjua mmiliki wa hilo jengo? Unajua wenye hisa kubwa kwenye hlo jengo? Kama nimesema uongo bas thibitisha kwa kusema ukweli..if u fail to do so.. u 'r a fuckng pumpkin..
Mkuu,haya ni majitu ya hovyohovyo,jitu halijui haki inapatikana wapi hilo ni jitu la maana kweli?.Yanatuhumu Bila ushahidi,yapo yapo tuu,ni makasuku,hutumiwa kama kondomu kufanikisha haja za wakina ndina.
 
Hapo halibomolewi jengo literally inateketezwa fedha ya walala hoi walipa kodi
Unajua utofauti ya bomoa bomoa tuliyoizoea kwa wananchi na hiyo? alie plan mwenyewe na sasa anabomoa mwenyewe"
Kama hospital utampeleka wodi gani akafanye vipimo gani mtu kama huyo?

Si ajabu kubomoa Nyumba au sehemu ya Nyumba yako kwa ajili ya kufanya Maboresho au kujenga kitu Kikubwa zaid!
 
Hapo halibomolewi jengo literally inateketezwa fedha ya walala hoi walipa kodi
Unajua utofauti ya bomoa bomoa tuliyoizoea kwa wananchi na hiyo? alie plan mwenyewe na sasa anabomoa mwenyewe"
Kama hospital utampeleka wodi gani akafanye vipimo gani mtu kama huyo?
Upuuzi mtupu
Yanabomolewa majengo ya maana miji ya watu sembuse hilo la Tanesco!!
Mkikosa yakuongea mlale hata mchana
 
aiseee.Okay.Kwa hio ndio maana lilijengwa kwenye road reserve?

libomolewe tu.Lowasa Fisadi sana.Nilikuwa najiuliza ..how come serikali ijenge kwenye road reserve..kumbe ni mwizi Lowasa

wabomoe haraka sana

Kwa hiyo Jengo la Idara ya Maji sio La Serikali?

Lowassa naye anahuka?[/QUOTE]
Na ofisi za wizara ya maji zilizobomolewa ni za nani uyo fisadi
Picha au video ya tukio la kubomoa ingependeza zaidi
 
Back
Top Bottom