sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Posho za wabunge zapanda kimyakimya | Send to a friend |
Monday, 28 November 2011 08:24 |
0diggsdigg ZAPANDA KUTOKA SH70,000 HADI 200,000, NI ZAIDI YA ASILIMIA 150 Fredy Azzah HUKU mjadala wa kufutwa au kwa posho za wabunge na watumishi wengine wa Serikali ukiwa umefifia, posho za vikao (sitting allowance) za wabunge zimepanda kutoka Sh70,000 kwa siku hadi Sh200,000, imefahamika. Zimeongezeka kutoka Sh70,000 mpaka 200,000, wameanza kulipwa Bunge lililopita hili ni ongezeko la karibu mara tatu, yaani asilimia 154, kilieleza chanzo chetu kutoka ndani ya Ofisi za Bunge.hoto: |