Ubunge Arusha: Natabiri CUF kusimamisha mgombea

Ubunge Arusha: Natabiri CUF kusimamisha mgombea

MAGEUZI KWELI

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2011
Posts
1,947
Reaction score
254
Ni uchokozi tuu kwa watani wetu CCM B kipenzi cha watoga masikio... Walikacha Arumeru kuona hawakubaliki.
Sasa wanaweza kutumia akili ya Masaburi kuja Arusha kuchuana na Paka???
 
Hilo liko wazi. Watasimamisha mgombea sio kwa lengo la kushinda kiti, bali kupunguza kura za CHADEMA ili mabwana zao (CCM) washinde. Tegemea tuhuma za udini!
 
Na TLP na NCCR, DP, UPDP, NRA, na SAU pia watasimamisha wagombea
 
Uamuzi wa CUF kugombea au kutogombea utatolewa na mheshimiwa sana bwana Jussa baada ya kufanya tathmini yakinifu ya idadi ya misikiti vs. makanisa
 
Arusha haina Maustaadh wenye sifa za kugombea Ubunge. Ingekuwa Pemba au Lindi sawa.
 
Inaonekana Adui wenu ni Cuf na sio ccm, na inaeonekana Mnaiogopa sana Cuf.. maana imekukaeni moyoni lol!
 
CUF,ADM,CHAUSTA,NRA,DP,DPP,TLP,NCCR.PPMAENDELEO,CCM,SAU,CHAPUTA,CHANETA,NEC,POLISI,aibu inawasubiri ARUSHA.cdm viva.
 
Inaonekana Adui wenu ni Cuf na sio ccm, na inaeonekana Mnaiogopa sana Cuf.. maana imekukaeni moyoni lol!

Kwani CUF imefufuka? kwi, kwi, kwi! Tangu lini marehemu wakamsimamisha mgombea katika uchaguzi Tanzania Hii
 
Jamani wana haki ni chama kilichosajiliwa. Hawatapunguza kura kwani watagawana na CCM, sio chama cha upinzani hicho so wapinzani watabaki wapinzani. Jussa nae atakuja? namsubiri kwa hamu sijapata ona kiongozi mzandiki kama huyu (********) namhifadhi
 
Na mimi natabiri kuwa 2015 rais wetu atakuwa ni LUSINDE kwani huyu kamanda ni mpiganaji sana na watu wote tunamkubali sana hasa baada ya kusaidia ushindi wa CCM arumeru.
LONG LIVE KAMANDA LUSINDE.
 
Uamuzi wa CUF kugombea au kutogombea utatolewa na mheshimiwa sana bwana Jussa baada ya kufanya tathmini yakinifu ya idadi ya misikiti vs. makanisa
Inaonekana mnamuogopa sn Jussa tokea amgalagaze yule kada wenu MARANDO kwny ule mdahalo wa Star tv
 
Back
Top Bottom