Ubunge Afrika Mashariki: Majina ya wagombea wa CHADEMA na CUF yakataliwa na msimamizi wa uchaguzi

chadema wasije kutafsiri seria ccm akapata aibu maana ccm hawajuwi maana
 
Kisa chadema wameweka yote majembe yanayotisha! Huku Masha, huku Wenje! Uchukue Nani uache Nani!
 
Kuna shida sana kwenye hiyo ofisi za serikali,hii watakuwa wanafanya nakusudi ili kuidhalilisha chadema.
Sheria inasema at least one third of the elected members shall reflect either gander,hii 1/3 inayosemewa hapa ni elected members ambao tayari wamisha pitishwa kuwa wajumbe sio elected member kwenye vyama husika.
Hii 1/3 ni sheria ya the east African legislative Assembly election Act,2011 haihuyu vyama vya sia sa bali wajumbe ambao wamechaguliwa na kupitishwa na bunge ndio 1/3 kati ya wabunge 9 kuwe na gender
 
Eti ndio wanataka wapewe Dola hao ktu kdogo 2 hcho kmewashinda ss mkipewa Dila mtu m1 siatajaza ndgu zk wote ple White hous haibu sana kwa chma kkubwa cha Upnzani km hcho kfanya vtu vyaaibu 2020 Hapa kaz Tu
 
Back
Top Bottom