Umeishia darasa la ngapi? Tatizo la CCM ubashite mwingi, kwa mfano wewe inaonekana unajadili jambo ambalo hata hulielewi!Eti ndio wanataka wapewe Dola hao ktu kdogo 2 hcho kmewashinda ss mkipewa Dila mtu m1 siatajaza ndgu zk wote ple White hous haibu sana kwa chma kkubwa cha Upnzani km hcho kfanya vtu vyaaibu 2020 Hapa kaz Tu
Sio povu, ni masikitiko kwa nyie mifuko mnao waamini kuwa wanaweza kuongoza nchi wakati hawawezi kuongoz taasisi yao hiyo ndogo.Yaani mnatoa POVU kuliko wanachadema wenyewe poleni sana
Nanyie nashindwaga kuwaelewa mala utasikia chama cha wachaga haya mala ooh chama cha Tundu na mboyeCHADEMA
form ya maombi ya uchaguzi haipo
form inayonesha waombaji haipo ( Hana alingia nayo yeye mawili tu)
form inayonesha matokeo ya kura haipo (Itakuwepo vipi wakat mbowe kawaptisha yeye wawil)
Chama cha jamiiforums,Istagram,facebook, chama xha Tundu na mbowe hawatambui hata sheria duuh Aibu sana.
Wagombea wamepitishwa kiubabe na mwenyekiti cha kudumu bwana Mbowe
Kwanini kaona tu...makusudi...Hivi mwanasheria nguli Lisu ajaona ili
Kwahiyo chadema kuna majembe tu?wamekosea sna wangepeleka watu kama maisha na wenje. Majembe tena hatari tuKisa chadema wameweka yote majembe yanayotisha! Huku Masha, huku Wenje! Uchukue Nani uache Nani!
Ebu tasfiri kdgoKuna shida sana kwenye hiyo ofisi za serikali,hii watakuwa wanafanya nakusudi ili kuidhalilisha chadema.
Sheria inasema at least one third of the elected members shall reflect either gander,hii 1/3 inayosemewa hapa ni elected members ambao tayari wamisha pitishwa kuwa wajumbe sio elected member kwenye vyama husika.
Hii 1/3 ni sheria ya the east African legislative Assembly election Act,2011 haihuyu vyama vya sia sa bali wajumbe ambao wamechaguliwa na kupitishwa na bunge ndio 1/3 kati ya wabunge 9 kuwe na gender
Kamulizeeee nani ?MOTOCHINI: Wewe si unafahamu? Niambie ndugu. Hivi hiyo kanuni inasema wagombea au ni lazima? Maana yaweza tokea pasiwepo mgombea wa jinsia ya kike. Hapo kanuni inasemaje? Usiseme tena nikamuulize Tundu Lissu, maana mnaonekana kujifanya kimbelembele cha kujua kila kitu ila mkiulizwa mkielezee manakuwa wakali.