Daaaaaa" Tunahitaji mtu anayeifahamu vema Magu na matatizo yake, si vibaya tukiweka na kigezo cha uzoefu wa kuishi Magu angalau experience isiyopungua miaka 5 mfulululizo, mana wapo wanaojiita wa Magu kumbe wana miaka 20 hawajaiona Magu na hawafahamu matatizo yanayoikabili Magu, tunamhitaji anayeijua vema Magu kuanzia Mahaha, Ng'hwenge, Isolo Igombe pitia Bukingi njoo hadi Ng'wamagoli, Iponyamadaso, vuka Kabila nenda hadi Nkola Nhabuko, urudi Bugatu, Buhunda, zunguka Ng'wabalatulu, rudi Iseni njoo Mwamibanga, Buhumbi, pita Lugeye, Ngashe nenda hadi Lutale Kisesa geuka tena nenda Welamasonga geuka tena nenda hadi Ng'wanekeyi Ng'wamabanza"" Afahamu angalau kwa uchache mana huko ndo shida zimewajaa kwelikweli" asije kwa gear ya kusema eti nafahamu matatizo ya Magu ni Maji"" aaah kuna matatizozaidi ya hayo" " KAZI KWAKE MWENYE KUHITAJI JIMBO LA MAGU"