New Force 2015
Member
- Oct 25, 2013
- 63
- 262
Mh Renatus Pamba diwani wa kata ya Sinza (CHADEMA), halmashauri ya mansipaa ya Kinondoni, ni kijana mchapakazi mwenye maono na ari ya kuleta mabadiliko kwenye jamii, yuko tayari kwa ajili ya kuwawakilisha wananchi wa Jimbo la Magu kama mbunge wao kuanzia 2015.
Ni katika mfululizo wa kuwaletea orodha ya vijana shupavu wanaopewa nafasi kubwa ya kuingia bungeni 2015, unaweza kusema chochote kwa namna unavyomfahamu wewe...
nawasilisha.........
Ni katika mfululizo wa kuwaletea orodha ya vijana shupavu wanaopewa nafasi kubwa ya kuingia bungeni 2015, unaweza kusema chochote kwa namna unavyomfahamu wewe...nawasilisha.........