KERO Responded Ubovu barabara Tabata Kimanga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hamna Mbunge?
Hamna Diwani?
Hamna Mwenyekiti wa S/Mitaa?
Hamna Watendaji wa Kata zenu na Mitaa?

Hao wote hamna au mnafanya makusudi?
Yaan mpaka Rais hamna? Bibi Chura kawavalia mewani miyeusi hawaoni au sio
Ni kama hawajali, maana mbunge ameshasema haitaji kura zetu.
Pia, kwenye mitandao ya kijamii ukimkosoa, unafuatwa mpaka inbox na account ya “uvccm kimanga”
 
Salam hizi zimfikie Bona Kamoli
Hamna Mbunge?
Hamna Diwani?
Hamna Mwenyekiti wa S/Mitaa?
Hamna Watendaji wa Kata zenu na Mitaa?

Hao wote hamna au mnafanya makusudi?
Yaan mpaka Rais hamna? Bibi Chura kawavalia mewani miyeusi hawaoni au sio?
Mbunge huyo wa Segerea ni mrembo sana labda wapiga kura wanazuzuka na sura na shepu yake. Mcheki tu mwenyewe.
 

Attachments

  • 69108188_1633352263471478_1042620967714553856_n.jpg
    60.6 KB · Views: 21
Umesahau picha za mashimo.na makorongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…