namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
Habari wana "Great Thinkers",huwa naskia maneno mengi sana kuhusu Open University,actually mengi huwa si mazuri sana na leo nimeona nilete humu Jf nina uhakika nitafahamu ukweli kuhusu hiki chuo,ningependa nifahamishwe yafuatayo:
1.Ubora wa hiki chuo na ubora wa degree zao kulinganisha na vyuo vingine
2.ubora na uwezo wa wanafunzi wao waliohitumu hiki chuo hasa wakiwa kazini na maeneo mengine
Ni hayo tu wakuu nilipokosea mnirekebise
1.Ubora wa hiki chuo na ubora wa degree zao kulinganisha na vyuo vingine
2.ubora na uwezo wa wanafunzi wao waliohitumu hiki chuo hasa wakiwa kazini na maeneo mengine
Ni hayo tu wakuu nilipokosea mnirekebise