ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,451
- 11,347
Naona watu wanalalamika kuwa simba jana pamoja na kushinda lakini wamesheza mchezo mbovu, lakini maoni yangu ni tofauti kabisa kwa sababu tangu yashindano ya ligi ya mabigwa ianze jana ndo kidogo simba ameonesha uhai kidogo hasa kwenye kusukuma mashambulizi kwa nguvu na kasi.
Tukiachana na ushabiki matokeo ya jana yameamuliwa na Ubora wa kipa wa Vipers tofauti na hapo Simba ingeshinda si chini ya goli 3 mpaka 4.
Jana simba walikuwa wanashambulia kwa kasi kitu kilicho zuia mabeki wa Vipers kupanda hivyo mabeki wa simba kuwa huru na ndio maana jana unaona Onyango hajafanya makosa ya kizembe kama tulivyo zoea bali walio kuwa wanafanya makosa ni Viungo.
Lakini pamoja na hayo mm sio muumini wa huu mfumo wa kocha wetu,mpila mzuri ni weka Ball chini itembee na sio mpira wa kukimbizana kama vichaa.
Tukiachana na ushabiki matokeo ya jana yameamuliwa na Ubora wa kipa wa Vipers tofauti na hapo Simba ingeshinda si chini ya goli 3 mpaka 4.
Jana simba walikuwa wanashambulia kwa kasi kitu kilicho zuia mabeki wa Vipers kupanda hivyo mabeki wa simba kuwa huru na ndio maana jana unaona Onyango hajafanya makosa ya kizembe kama tulivyo zoea bali walio kuwa wanafanya makosa ni Viungo.
Lakini pamoja na hayo mm sio muumini wa huu mfumo wa kocha wetu,mpila mzuri ni weka Ball chini itembee na sio mpira wa kukimbizana kama vichaa.