ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,442
- 11,332
Kwakweli saa nyingine huna nashindwa kujua iwapo mashabiki wa mpila wa Tz Wana uwelewa gani wa mpila zaidi ya kufuata mikumbo na ushabiki.
Sasa hivi naona kwenye mitandao ya kijamii mashabiki wa Simba wanamshambulia na kumlaumu kipa eti kafungwa goli la kizembe , hivi kwa mtu anaye jua mpila kabisa kipa anahusikaje kwenye hilo goli?
Yaani mchezaji anapokea mpila kutokea karibia mita 35 kutoka kwenye goli ana ukokota mpila viungo wana muangalia tu, anaukokota mpaka nje kidogo ya box mabeki wamemuangalia tu, bado ana endelea kuukokota mpaka katikati ya mabeki wa 4 wa simba anapiga shuti wamemuangalia, alafu anatokea mtu ana mlaumu kipa , na mkumbuke hata lile goli la pili alilo fungwa simba akiwa zambia na lenyewe mshambuliaji alilipiga akiwa katikati ya mabeki kama watatu.
Kwanza kipa alikuwa amekingwa na mabeki na hilo shuti lilikuwa na kushutukiza na lilikuwa na kasi hata angekuwa nani pale ange fungwa tu wana simba tuache visingizio na kutaka kumtwisha kipa wakati timu nzima kiujumla ina kiwango cha hovyo.
Wanao takiwa kulaumiwa ni viungo na mabeki walio shindwa kutimiza majukumu yao, hivi timu iliyo jaa viungo inawezaje kumruhusu mchezaji akokote mpila akiwa huru kabisa kwa muda mrefu namna hiyo aisee au simba imetogwa?
Tatizo hapo simba ni kocha kiufupi mpila ni mchezo wa wazi kwa mpila unachezwa na simba unadhihirisha na unaonesha kabisa ya kuwa kocha timu imemshinda ,viongozi wa simba waache kijificha kwenye kichaka cha timu kupata matokeo simba inacheza mpila wa hovyo kabisa.
Sasa hivi naona kwenye mitandao ya kijamii mashabiki wa Simba wanamshambulia na kumlaumu kipa eti kafungwa goli la kizembe , hivi kwa mtu anaye jua mpila kabisa kipa anahusikaje kwenye hilo goli?
Yaani mchezaji anapokea mpila kutokea karibia mita 35 kutoka kwenye goli ana ukokota mpila viungo wana muangalia tu, anaukokota mpaka nje kidogo ya box mabeki wamemuangalia tu, bado ana endelea kuukokota mpaka katikati ya mabeki wa 4 wa simba anapiga shuti wamemuangalia, alafu anatokea mtu ana mlaumu kipa , na mkumbuke hata lile goli la pili alilo fungwa simba akiwa zambia na lenyewe mshambuliaji alilipiga akiwa katikati ya mabeki kama watatu.
Kwanza kipa alikuwa amekingwa na mabeki na hilo shuti lilikuwa na kushutukiza na lilikuwa na kasi hata angekuwa nani pale ange fungwa tu wana simba tuache visingizio na kutaka kumtwisha kipa wakati timu nzima kiujumla ina kiwango cha hovyo.
Wanao takiwa kulaumiwa ni viungo na mabeki walio shindwa kutimiza majukumu yao, hivi timu iliyo jaa viungo inawezaje kumruhusu mchezaji akokote mpila akiwa huru kabisa kwa muda mrefu namna hiyo aisee au simba imetogwa?
Tatizo hapo simba ni kocha kiufupi mpila ni mchezo wa wazi kwa mpila unachezwa na simba unadhihirisha na unaonesha kabisa ya kuwa kocha timu imemshinda ,viongozi wa simba waache kijificha kwenye kichaka cha timu kupata matokeo simba inacheza mpila wa hovyo kabisa.