Hivi kipa wa Simba analaumiwa kwa lipi?

ITR

JF-Expert Member
Sep 22, 2022
4,442
11,332
Kwakweli saa nyingine huna nashindwa kujua iwapo mashabiki wa mpila wa Tz Wana uwelewa gani wa mpila zaidi ya kufuata mikumbo na ushabiki.

Sasa hivi naona kwenye mitandao ya kijamii mashabiki wa Simba wanamshambulia na kumlaumu kipa eti kafungwa goli la kizembe , hivi kwa mtu anaye jua mpila kabisa kipa anahusikaje kwenye hilo goli?

Yaani mchezaji anapokea mpila kutokea karibia mita 35 kutoka kwenye goli ana ukokota mpila viungo wana muangalia tu, anaukokota mpaka nje kidogo ya box mabeki wamemuangalia tu, bado ana endelea kuukokota mpaka katikati ya mabeki wa 4 wa simba anapiga shuti wamemuangalia, alafu anatokea mtu ana mlaumu kipa , na mkumbuke hata lile goli la pili alilo fungwa simba akiwa zambia na lenyewe mshambuliaji alilipiga akiwa katikati ya mabeki kama watatu.

Kwanza kipa alikuwa amekingwa na mabeki na hilo shuti lilikuwa na kushutukiza na lilikuwa na kasi hata angekuwa nani pale ange fungwa tu wana simba tuache visingizio na kutaka kumtwisha kipa wakati timu nzima kiujumla ina kiwango cha hovyo.

Wanao takiwa kulaumiwa ni viungo na mabeki walio shindwa kutimiza majukumu yao, hivi timu iliyo jaa viungo inawezaje kumruhusu mchezaji akokote mpila akiwa huru kabisa kwa muda mrefu namna hiyo aisee au simba imetogwa?

Tatizo hapo simba ni kocha kiufupi mpila ni mchezo wa wazi kwa mpila unachezwa na simba unadhihirisha na unaonesha kabisa ya kuwa kocha timu imemshinda ,viongozi wa simba waache kijificha kwenye kichaka cha timu kupata matokeo simba inacheza mpila wa hovyo kabisa.
 
Kwakweli saa nyingine huna nashindwa kujua iwapo mashabiki wa mpila wa Tz Wana uwelewa gani wa mpila zaidi ya kufuata mikumbo na ushabiki.

Sasa hivi naona kwenye mitandao ya kijamii mashabiki wa simba wanamshambulia na kumlaumu kipa eti kafungwa goli la kizembe , hivi kwa mtu anaye jua mpila kabisa kipa anahusikaje kwenye hilo goli?
Yaani mchezaji anapokea mpila kutokea karibia mita 35 kutoka kwenye goli ana ukokota mpila viungo wana muangalia tu, anaukokota mpaka nje kidogo ya box mabeki wamemuangalia tu, bado ana endelea kuukokota mpaka katikati ya mabeki wa 4 wa simba anapiga shuti wamemuangalia, alafu anatokea mtu ana mlaumu kipa , na mkumbuke hata lile goli la pili alilo fungwa simba akiwa zambia na lenyewe mshambuliaji alilipiga akiwa katikati ya mabeki kama watatu.

Kwanza kipa alikuwa amekingwa na mabeki na hilo shuti lilikuwa na kushutukiza na lilikuwa na kasi hata angekuwa nani pale ange fungwa tu wana simba tuache visingizio na kutaka kumtwisha kipa wakati timu nzima kiujumla ina kiwango cha hovyo.

Wanao takiwa kulaumiwa ni viungo na mabeki walio shindwa kutimiza majukumu yao, hivi timu iliyo jaa viungo inawezaje kumruhusu mchezaji akokote mpila akiwa huru kabisa kwa muda mrefu namna hiyo aisee au simba imetogwa?

Tatizo hapo simba ni kocha kiufupi mpila ni mchezo wa wazi kwa mpila unachezwa na simba unadhihirisha na unaonesha kabisa ya kuwa kocha timu imemshinda ,viongozi wa simba waache kijificha kwenye kichaka cha timu kupata matokeo simba inacheza mpila wa hovyo kabisa.
Mpila ndio nini
 
Kwakweli saa nyingine huna nashindwa kujua iwapo mashabiki wa mpila wa Tz Wana uwelewa gani wa mpila zaidi ya kufuata mikumbo na ushabiki.

Sasa hivi naona kwenye mitandao ya kijamii mashabiki wa Simba wanamshambulia na kumlaumu kipa eti kafungwa goli la kizembe , hivi kwa mtu anaye jua mpila kabisa kipa anahusikaje kwenye hilo goli?

Yaani mchezaji anapokea mpila kutokea karibia mita 35 kutoka kwenye goli ana ukokota mpila viungo wana muangalia tu, anaukokota mpaka nje kidogo ya box mabeki wamemuangalia tu, bado ana endelea kuukokota mpaka katikati ya mabeki wa 4 wa simba anapiga shuti wamemuangalia, alafu anatokea mtu ana mlaumu kipa , na mkumbuke hata lile goli la pili alilo fungwa simba akiwa zambia na lenyewe mshambuliaji alilipiga akiwa katikati ya mabeki kama watatu.

Kwanza kipa alikuwa amekingwa na mabeki na hilo shuti lilikuwa na kushutukiza na lilikuwa na kasi hata angekuwa nani pale ange fungwa tu wana simba tuache visingizio na kutaka kumtwisha kipa wakati timu nzima kiujumla ina kiwango cha hovyo.

Wanao takiwa kulaumiwa ni viungo na mabeki walio shindwa kutimiza majukumu yao, hivi timu iliyo jaa viungo inawezaje kumruhusu mchezaji akokote mpila akiwa huru kabisa kwa muda mrefu namna hiyo aisee au simba imetogwa?

Tatizo hapo simba ni kocha kiufupi mpila ni mchezo wa wazi kwa mpila unachezwa na simba unadhihirisha na unaonesha kabisa ya kuwa kocha timu imemshinda ,viongozi wa simba waache kijificha kwenye kichaka cha timu kupata matokeo simba inacheza mpila wa hovyo kabisa.
hajui kudaka, ni kama sanamu la michelini tu. hata yule dogo mzenji angedaka leo simba wasingefungwa lile goli.
 
tatzo wabongo tukishaona mtu mweupe tunajua fundi kwl kwl Ndio maana lawama znakua nyingi kwake Si unakumbuka ka mzungu dejan.. bongo changamoto sana 😅😅
 
Kwakweli saa nyingine huna nashindwa kujua iwapo mashabiki wa mpila wa Tz Wana uwelewa gani wa mpila zaidi ya kufuata mikumbo na ushabiki.

Sasa hivi naona kwenye mitandao ya kijamii mashabiki wa Simba wanamshambulia na kumlaumu kipa eti kafungwa goli la kizembe , hivi kwa mtu anaye jua mpila kabisa kipa anahusikaje kwenye hilo goli?

Yaani mchezaji anapokea mpila kutokea karibia mita 35 kutoka kwenye goli ana ukokota mpila viungo wana muangalia tu, anaukokota mpaka nje kidogo ya box mabeki wamemuangalia tu, bado ana endelea kuukokota mpaka katikati ya mabeki wa 4 wa simba anapiga shuti wamemuangalia, alafu anatokea mtu ana mlaumu kipa , na mkumbuke hata lile goli la pili alilo fungwa simba akiwa zambia na lenyewe mshambuliaji alilipiga akiwa katikati ya mabeki kama watatu.

Kwanza kipa alikuwa amekingwa na mabeki na hilo shuti lilikuwa na kushutukiza na lilikuwa na kasi hata angekuwa nani pale ange fungwa tu wana simba tuache visingizio na kutaka kumtwisha kipa wakati timu nzima kiujumla ina kiwango cha hovyo.

Wanao takiwa kulaumiwa ni viungo na mabeki walio shindwa kutimiza majukumu yao, hivi timu iliyo jaa viungo inawezaje kumruhusu mchezaji akokote mpila akiwa huru kabisa kwa muda mrefu namna hiyo aisee au simba imetogwa?

Tatizo hapo simba ni kocha kiufupi mpila ni mchezo wa wazi kwa mpila unachezwa na simba unadhihirisha na unaonesha kabisa ya kuwa kocha timu imemshinda ,viongozi wa simba waache kijificha kwenye kichaka cha timu kupata matokeo simba inacheza mpila wa hovyo kabisa.
We jamaa unaujua mpira.
 
Wote wana makosa lakini golikipa ana makosa zaidi kwasababu kufungwa umbali wa zaidi ya mita 20 maana yake hakua anafwatilia move ya mpira.Angekua anafwatilia angalau angeruka na kuugusa,ila utaona wakati mpira unapigwa hadi yeye kuruka mpira ulishakua nusu njia kufika golini.Hatusemi ni golikipa mbaya ila anatakiwa kufanyia kazi mapungufu yake hasa mipira ya mbali.
 
Hata mm nashangaa sana sioni sababu ya kumlaumu kipa kabisa wanatafuta kichaka cha kuyaficha mapungufu ya defence line ya simba sisi wote ni wanasimba makosa tuyaseme

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Yaani mm nashindwa kuielewa simba sijui ni tumerogwa au ni mfumo mbovu wa kocha yaani sasa hivi simba imekuwa dhaifu kuanzia beki katikati mpaka safu ya ushambuliaji.
 
Wote wana makosa lakini golikipa ana makosa zaidi kwasababu kufungwa umbali wa zaidi ya mita 20 maana yake hakua anafwatilia move ya mpira.Angekua anafwatilia angalau angeruka na kuugusa,ila utaona wakati mpira unapigwa hadi yeye kuruka mpira ulishakua nusu njia kufika golini.Hatusemi ni golikipa mbaya ila anatakiwa kufanyia kazi mapungufu yake hasa mipira ya mbali.
Mkuu sikatai mapungufu ya kipa kwa sababu pia anapenda kutema tema mipira hovyo , lakini hili goli la leo kumlaumu kipa ni jaribio la kuficha madhaifu ya beki na kiungo ya simba.
 
Goli la leo kosa kalifanya Chama kwa kushindwa kukimbia na kukaa mbele ya mshambuliaji kumkinga asipige mpira. Goli la Zambia alilisabababisha Muzamiru kwa kutofanya jukumu lile lile.
N.B:Goli la leo linafanana na goli la kwanza Mayele alilofunga ngao ya jamii. Makosa kama haya kwa wenzetu hasa Bundesliga ukiyafanya lazima ufungwe
 
Back
Top Bottom