Kipa Bora anatokana na Beki Bora na Beki Bora anatokana na kipa Bora"vice versa is true"

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,728
Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.

NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.

Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?

Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.

Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.

Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.

Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.

Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.

Nawasilisha hoja.
 
Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.

NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.

Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?

Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.

Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.

Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.

Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.

Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.

Nawasilisha hoja.
Simba ni mbovu ...... Objektivu anajua na atasema muda ukifika.

Nasema atasemaaa tu.....

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
JE uwezo wa magolikipa wa Simba unatosha kusimama langoni?????

Ukimtoa Aishi Manula tu

Hatuoni kuwa Simba ilifanya makosa kwenye usajili kuhangaika na makipa kisa 10%.

unamuacha Golikipa kama John Noble unaangaika na Akina.

1. Ally salum
2.Ayoub Lakred.
3. Luis Santos.
4.jeffason Luis.
5. Hussein Abel

Aibu ya uongozi wa Simba
 
Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.

NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.

Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?

Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.

Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.

Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.

Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.

Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.

Nawasilisha hoja.
Nilipotoka tu kwenye kibanda umiza baada ya mechi, nikawauliza wenzangu niliokuwa nao kwamba " mmebaini nini tatizo simba kuruhusu magoli kirahisi hivi!?" Wakajibu"mabeki hawapo makini" Nikawaambia," big nipo!! Tatizo ni kipa." Simba haina kipa bora, Manura tu ndo kipa makini na bora msimbazi." Walikubali moja kwa moja ni kweli. Nashukuru nawe mkuu umeliona hili. Uongozi uchukue hatua fasta. Makipa wanafungwa magoli kwa kutema mipira. Watu hawalioni hili?!!
 
Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.

NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.

Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?

Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.

Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.

Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.

Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.

Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.

Nawasilisha hoja.
Nilipotoka tu kwenye kibanda umiza baada ya mechi, nikawauliza wenzangu niliokuwa nao kwamba " mmebaini nini tatizo simba kuruhusu magoli kirahisi hivi!?" Wakajibu"mabeki hawapo makini" Nikawaambia," big nipo!! Tatizo ni kipa." Simba haina kipa bora, Manura tu ndo kipa makini na bora msimbazi." Walikubali moja kwa moja ni kweli. Nashukuru nawe mkuu umeliona hili. Uongozi uchukue hatua fasta. Makipa wanafungwa magoli kwa kutema mipira. Watu hawalioni hili?!!
 
Golikipa mzuri anaipa timu asilimia sitini ya ushindi 60%.

Kama golikipa ni mbovu hata mabeki wanacheza kwa hofu na kishindwa kupandisha timu ama kushambulia.

Lakini hadi sasa kwenye msimamo wa ligi.

Simba amefungwa goli 5 tano tu.
Yanga amefungwa goli 4 nne.

Tofauti ya Ally salum na Diara ni goli moja tu.

Unacheza na Alhly golini una Ally salum unategemea ushindi.

UONGOZI WA SIMBA UNAZINGUA MNO.
 
Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.

NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.

Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?

Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.

Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.

Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.

Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.

Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.

Nawasilisha hoja.
Leo umeandika vizuri tunaweza hata kuchangia! Simba kweli tatizo linaanzia anaekaa golini,Kiungo mkabaji asili
 
Golikipa mzuri anaipa timu asilimia sitini ya ushindi 60%.

Kama golikipa ni mbovu hata mabeki wanacheza kwa hofu na kishindwa kupandisha timu ama kushambulia.

Lakini hadi sasa kwenye msimamo wa ligi.

Simba amefungwa goli 5 tano tu.
Yanga amefungwa goli 4 nne.

Tofauti ya Ally salum na Diara ni goli moja tu.
ANGALIA JUMLA NA KIMATAIFA NAMNA MAKIPA WANAVYORUHUSU MAGOLI MEPESI TOKA KWA POWER DYNAMOO MPAKA NDANI YA LIGI.
 
Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.

NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.

Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?

Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.

Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.

Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.

Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.

Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.

Nawasilisha hoja.
You nailed it,nakubaliana na wewe ally Salimu hata kuwapanga mabeki hakuna,anasuburi afungwe baada ya kutemea Mpira Kwa opponent,ndo anaanza kuwalaumu wenzie
 
Nimeona baadhi ya watu wakiushambulia Ukuta wa Yericko (electrical Fence) bila kujali/kuangalia kipa anafungwa magoli ya namna gani Bali mashabiki wanapaza sauti tu kila wanapoona timu yao ya Simba sc inaporuhusu magoli.

NALIA NGWENA naandika huu uchambuzi kiufundi kwa kujenga hoja baada ya kuona baadhi ya mashabiki kuanza kumkumbuka "Onyango'' na kusema kuwa alitengeneza combination nzuri sana Kati yake na Enonga Bacca.

Sikatai kwa hiyo point lakini tujiulize kipindi Ukuta wa Simba sc hauruhusu magoli mengi Nani alikuwa golini (kipa)?

Jibu ni "Aishi Manula" na hakuna asiyejua ubora wa Aishi Manula anapokua langoni (golini) huyu ni kipa Bora mwenye kipaji ni kipa ambaye alipanga mabeki wake vizuri na ni kipa ambaye alikuwa mkali sana anapoona beki analeta mchezo/mzaha katika lango lake.

Kwa hiyo ubora wa Aishi Manula ulifanya combination ya "Onyango'' na "Enonga Bacca" kuwa moja Kati Ukuta mgumu sana kupata matokeo.

Ukuta wa Electrical fence (Enonga na Che-malon Fondoh) ni Ukuta mzuri pia ukitazama ukabaji wa Malone na pia ukitazama Enonga Bacca ni beki mzuri Ila tatizo linakuja kwa Kipa Kuna muda Makipa wa Simba sc wanafungwa unaona kabisa siyo kosa la mabeki.

Tizama Goli la Simba vs Ihefu, Ally Salimu anapigiwa mpira anatema mbele ya opponent, na anaadhibiwa kwa kosa alilolifanya.

Maoni Yangu: ni ngumu beki kuwa Bora wakati kipa ni mbovu, na kipa kuwa Bora anategemea ubora wa beki.

Nawasilisha hoja.
Nakubaliana na wewe umeongea kiufundi na umeweka ushabiki pembeni. Achana na goli la ihefu, goli la singida kipa aliwatemea maadui, goli la ah ahly mechi ya kwanza , goli la kwanza kipa alitoka bila mahesabu, goli la pili aliwatemea maadui kiufupi Simba walijitakia kutolewa. Sifa ya kipa mkubwa ni kuanzisha mashambuli, kupangua beki zake, kutuliza timu pale inaposhambuliwa. Ally Salim Hana sifa zote
 
Ally Salim kinachomgharimu pia ni Mamlaka akiwa langoni ambayo Manula akikaa langoni anakua nayo,Manula anajiamini na Akita beki zake wanamsikiliza Ally kujiamini na kuwafokea mabeki wanapokosea bado hajapata hiyo mamlaka kutoka na makosa anayofanya,Ile Hali ya kujiamini aliyokua nayo baada ya ngao angeendelea kuwa nayo Mamlaka hiyo angeipata na Angekua anapanga ukuta wake vizuri na wangemwamini
 
Ally Salim kinachomgharimu pia ni Mamlaka akiwa langoni ambayo Manula akikaa langoni anakua nayo,Manula anajiamini na Akita beki zake wanamsikiliza Ally kujiamini na kuwafokea mabeki wanapokosea bado hajapata hiyo mamlaka kutoka na makosa anayofanya,Ile Hali ya kujiamini aliyokua nayo baada ya ngao angeendelea kuwa nayo Mamlaka hiyo angeipata na Angekua anapanga ukuta wake vizuri na wangemwamini
Hakuna cha mamlaka wala Kuongea na Mabeki.
Kiufupi hajui, hamna kipa mle.
Nyekundu tuiite nyekundu asee.
Haihitaji mamlaka au Kupanga ukuta ili kuelewa kuwa hutakiwi kutemea mpira eneo la kuchezea.
Ni ajabu anaanza simba lakini akienda timu yoyote ya ligi kuu hapati namba.
 
Ally salum hakuna timu yaligi kuu NBC anaweza akaanza.
Akasimama namba moja golini.
HAIPO.

UONGOZI WA SIMBA UNAZINGUA MNO
Sasa timu haina kipa na ndiyo maana wanaona aanze huyo huyo wanaemuona ana uafadhari huko mazoezini.
 
Nakubaliana na wewe umeongea kiufundi na umeweka ushabiki pembeni. Achana na goli la ihefu, goli la singida kipa aliwatemea maadui, goli la ah ahly mechi ya kwanza , goli la kwanza kipa alitoka bila mahesabu, goli la pili aliwatemea maadui kiufupi Simba walijitakia kutolewa. Sofa ya kipa mkubwa ni kuanzisha mashambuli, kupangua beki zake, kutuliza timu pale inaposhambuliwa. Ally Salim Hana sifa zote
Sasa makosa Kama hayo hatuwezi kusema kuwa mabeki ni wabovu Ila kipa ndiyo anasababisha Ukuta uonekane weak
 
Golikipa mzuri anaipa timu asilimia sitini ya ushindi 60%.

Kama golikipa ni mbovu hata mabeki wanacheza kwa hofu na kishindwa kupandisha timu ama kushambulia.

Lakini hadi sasa kwenye msimamo wa ligi.

Simba amefungwa goli 5 tano tu.
Yanga amefungwa goli 4 nne.

Tofauti ya Ally salum na Diara ni goli moja tu.

Unacheza na Alhly golini una Ally salum unategemea ushindi.

UONGOZI WA SIMBA UNAZINGUA MNO.
Diara karuhusu goli kwenye mechi za aina Gani na uyo Aly salimu karuhusu goli kwenye mechi za aina Gani? Na je Simba karuhusu goli ngapi kwenye mechi zote alizocheza kuanzia kimataifa mpaka ligi kuu? Mechi 9 goli 11??? Diarra karuhusu goli 4 ligi kuu Tena goli 2 ni kwenye mechi dume ya Azam utamfananishaje na Aly salimu?
 
Diara karuhusu goli kwenye mechi za aina Gani na uyo Aly salimu karuhusu goli kwenye mechi za aina Gani? Na je Simba karuhusu goli ngapi kwenye mechi zote alizocheza kuanzia kimataifa mpaka ligi kuu? Mechi 9 goli 11??? Diarra karuhusu goli 4 ligi kuu Tena goli 2 ni kwenye mechi dume ya Azam utamfananishaje na Aly salimu?
Tuweke ushabiki. Pembeni, Ally Salim bado hajakomaa kudaka mechi kubwa Kama Simba watakosea kumpanga derby ataleta kilio kikubwa
 
Back
Top Bottom