Kwanza unataka kufanya Masters ya nini? ninavyojua mimi kama ni MBA waalimu wanaofundisha karibia wote ni wa UDSM,kuna LLM in IT and Telecom inatolewa na Chuo cha UK na waalimu wao huwa wanakuja kufundisha,otherwise Open in wataalamu walio bobea wengi tu na nikama extension ya chuo kikuu cha Dar. najaribu kukupa mwanga na kukuondoa wasiwasi na pia kumbuka kuingia open university ni rahisi kuliko kutoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.