Wewe utakuwa unatumia tecno tangu uzaliwe hadi leo, kwa mantiki hii huna uwezo mkubwa wa kufanya ulinganifu wa ubora wa camera za simu kutokana na brand mbalimbali,
Samsung
iphone
Sony
Lg
Nokia
Zishindwe na tecno kweli!!? Watu watakucheka ukitamka kwa mdono hadharani