Usilolijua nyamaza kimya utaficha ujinga wakoMi nauliza tu jamani, hii ndege inachemsha ama? Maana ile ndege ya Mwenyekiti wa Barrick ilichukua masaa 21 tu kutoka Canada hadi Tanzania, sasa hii ndege inakuwaje mpaka isafiri toka Mwezi wa 3 na kufika Tanzania mwezi April?
barafu Saidia
View attachment 732113