Hapa tunadanganyana tu wakuu labda mambo ya s4 labda hatuyajui u can't compare this with tecno maana kuna vitu vingi tu tofauti mfano RAM 1.6 camera 13megapics,Air gesture,smart stay just to mention few so huwezi compare
Si sawa..ila anapata apps karibu zote zinazopatikana kwenye S4,so kwa mtu mwenye uwezo mdogo wa kifedha can go for it.
Hapa tunadanganyana tu wakuu labda mambo ya s4 labda hatuyajui u can't compare this with tecno maana kuna vitu vingi tu tofauti mfano RAM 1.6 camera 13megapics,Air gesture,smart stay just to mention few so huwezi compare
Hapa tunadanganyana tu wakuu labda mambo ya s4 labda hatuyajui u can't compare this with tecno maana kuna vitu vingi tu tofauti mfano RAM 1.6 camera 13megapics,Air gesture,smart stay just to mention few so huwezi compare
mkuu ukiwa huna android ya yenye ram 1gb na dual core processor unapata ---- application tu, hutacheza hd game hata moja kwa raha. nyengine hata store huzioni, labda uwe sio fans wa magame
Kwanza huwa nikinunua simu baada ya kufanya settings nafuta games.
Kwanza huwa nikinunua simu baada ya kufanya settings nafuta games.
still kuna apps kubwa kubwa unakosa mkuu. inshort ukiwa power user unatakiwa uwe na simu yenye uwezo kidogo ni huu umaskini tu.
sababu ram ya 512 inabidi hadi ujibane hata multitasking usifungue apps nyingi.
still kuna apps kubwa kubwa unakosa mkuu. inshort ukiwa power user unatakiwa uwe na simu yenye uwezo kidogo ni huu umaskini tu.
sababu ram ya 512 inabidi hadi ujibane hata multitasking usifungue apps nyingi.
kuna kitu inaitwa Tecno Phantom A. Hiyo kitu usipime. inafanana na samsung galaxy kila kitu.....good quality android phones in cheap prices
kwani mkuu hamna nokia original zenye vitu hivyo....au hata nokia tochi ni nokia fake???
Kubwa kubwa kama zipi mkuu..still kuna apps kubwa kubwa unakosa mkuu. inshort ukiwa power user unatakiwa uwe na simu yenye uwezo kidogo ni huu umaskini tu.
sababu ram ya 512 inabidi hadi ujibane hata multitasking usifungue apps nyingi.
Siziamini simu za kichina isipokuwa htc peke yake tu!
kwani mkuu hamna nokia original zenye vitu hivyo....au hata nokia tochi ni nokia fake???
Kubwa kubwa kama zipi mkuu..
Mm HTC, Huawei Lenovo Na Zte Pia Kuna Xiaomi Naona wanaenda Vzuri!! Nikitaka Cheap Phones Bas Bora Niende Micromax Hawa jamaa wana vitu Vya bei ndogo Na nI vizur kuliko Tecno
dj studio 5 inataka ram 1gb, huo ni mfano tu zipo hizo apps kwa maelfu.
note 3 inatoka na ram 3gb, minimum requirement ya 4.1 jb ni 512 ram na sjaona simu yenye 4.2 yenye ram ya 512mb
hayo yote yanaonesha unatakiwa haraka ukimbie 512 uje 1gb