Hivi Tunachobishania ni Nini? Ni Ubora wa simu au VALUE for MOney ?
Tatizo umetuwekea popularity sio performance wala sales, kiujumla hizo data haziwezi kuwa valid kwa kinachozungmziwa hapa, na wala usitake kuwabeat watu with senseless facts,
Xiaomi HM note ni cheap priced ndomana imekuwa popular, tena mpaka sasa inatumia Jellybean, wenzao wapo Kit kat na lollipop.
Angalia hapa kama Xiaomi wapo.
Thats Q1 ila kwa mwaka mzima 2014 the best was MTK Processor,
Sasa ya Q1 subiri MTK nao watoe matoleo yao Mapya ndio uje uongee lakini sio kuvizia wewe unatoleo la 2015 wengine wana 2014 then unafananaisha.
Ila motorola zinaweza lineup yoteSwala la kuweza ku run two games at a time ni kweli kuna baadhi ya tecno haziwezi, na pia zipo zenye uwezo. Kuna tecno model nyingi na specs tofauti tofauti. Vivyo kwa simu zingine zipo zenye uwezo na specs tofauti. Sio kila samsung au htc etc zina uwezo wa kufanya kila kitu
Tunazungumzia kampuni flani na simu zake kwaujumla, wala sio simu moja moja, ila wewe ndo unaeleta discussion ya simu moja moja. "sales"
snipa
KAma ni ubishani w akujifurahisha tu nai zaidi nani hovyo sasa kuna sabbau gani ya kubishana, its Abvious I Phone yupo juu kwa kila kitu.
Lakini Tukija kwenye Value for Money hapo ndio tofauti inapoanza.
basi niishie hapa,
Siku Mukija kudiscuss VALUE FOR MONEY mniite nije na TECNO Z Min yangu tushindane hoja kwa hoja na facts na evidence.
Alamsiki.
Tecno huwa sizidishi laki na nusu....
Na hio yote ni kwasababu uwezo kidogo unabana mambo ni mengi that's why naitumia hii H5...
Siwezi kuwa na uwezo wa kinunua S5 au HTC au LG halafu ninunue tecno....
Mtabishana mpaka kiama lakini tecno unless wahame technology na waboreshe hardwares zao,hawawezi kuwa na high ends devices za kuwashinda Samsung ikija kwa suala la high ends phones.
Enough with the ---- that phantom Z is better than S4???
sasa wewe unatumia h5 jilinganishe na wanaotumia galaxy pocket, ila sisi wa Phantom z tunapiga kazi zoote anazopiga mwenye S4, nina kioo cha hd cha super amoled, nina ram ya 2GB, nina camera ya 13mp nyuma na 8mp mbele tena zote zina led flash, nacheza hd games zooote. kama GTA San Andreas, Asphalt 8, Fifa 15, na nyingine kibaoooo... by the way Phantom z mini ina kila ninachokihitaji katika smartphone kwa sasa.. ni hayo tuuu
sasa wewe unatumia h5 jilinganishe na wanaotumia galaxy pocket, ila sisi wa Phantom z tunapiga kazi zoote anazopiga mwenye S4, nina kioo cha hd cha super amoled, nina ram ya 2GB, nina camera ya 13mp nyuma na 8mp mbele tena zote zina led flash, nacheza hd games zooote. kama GTA San Andreas, Asphalt 8, Fifa 15, na nyingine kibaoooo... by the way Phantom z mini ina kila ninachokihitaji katika smartphone kwa sasa.. ni hayo tuuu
Inavyo vyote unavyohitaji,ila haiwezi kuwa bora ya Samsung S4...
Pia mkuu usidhani kwa kuwa now natumia h5 ukadhani sizijui hizi simu za line mbili(tecno)...
Uzuri unlike you,mm nimetumia both Samsung na tecno....
Seems phantom Z kwako ndo high end phone ya kwanza.
Hapo ktk camera mkuu wamekuandikia 13 mp lakini ukipiga picha ni mp2
sio kweli, naweza kurecod video ya 1080p na ikacheza clear sana kwenye laptop yangu alafu uniambie camera ni 2mp?? baaaado sanaaa..
Watumiaji wa TECNO niwabishi sana..
Siwezi jihusisha na ushindani wa Tecno na aina yeyote ile ya known bland smartphone.
Yani mmeshindwa na Tecno mkaja kujidefend kwakutumia Xiaomi ili mjilegitimate na hoja zenu.
Xiaomi ni kampuni kubwa na inayoelewa inafanya nini tofauti kabisa na tecno.
Hiyo Tecno Z kwa price ya laki 6 haideserve kabisa.
Kazi njema.
Ndugu wacha wawe wabishi kwa maana wamekuwa wakitukanwa na kubenzwa sana na watu wano andika maneno matupu bila ushidi humu.
nakupa Home work niletee simu ya laki nne ya mwaka jana 2014 yenye uwezo sawa au zaidi ya Phantom Z min.
hakika huwezi pata popote labd ahurudi hukohuko china.
Ndugu wacha wawe wabishi kwa maana wamekuwa wakitukanwa na kubenzwa sana na watu wano andika maneno matupu bila ushidi humu.
nakupa Home work niletee simu ya laki nne ya mwaka jana 2014 yenye uwezo sawa au zaidi ya Phantom Z min.
hakika huwezi pata popote labd ahurudi hukohuko china.
Iyo maabaraa ya kimataifa inayopima simu inaitwaje? Na je simu za tecno nazo zimepewa Cheti chenye namba hizo?Wakuu unapozungumzia feki inamaana ya kampuni Moja imeiga na kutengeneza kitu kinacho fanana vilevile kutoka kampuni ilobuni au kuvumbua bila ya ruhusa ya wavumbuaj, hapo sasa bizaa iloiga itakua feki maana haki zake hazitmbuliki, na bizaa iloigwa ndo original maana Ina haki ya kudai hki zake baada ya kuigwa. Sema bidhaa nyingi zilizopo Tz Kama hizo Techno n law quality. Kuna kitu kinaitwa( IS) kwa maana ya International Standard bidhaa yoyote ukiona imeandikwa IS ikifatiwa na nambanmba hiyo ni original na imepimwa kwenye maabara ya Kimataifa na kupewa Chet chnye hzo namba , u got it.