thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,793
- 4,682
Timu za uarabuni zinaongoza kuchukua makombe ya caf champions.Enyimba iko wapi siku hizi ama tajiri alijitoa vp pia timu za waarabu mbona hazichukui sana caf champions na hela wako vzr
Caf champions ilianza mwaka 1965, mpaka sasa ni miaka 55 tangu ianza.
Timu kutoka misri, tunisia, algeria na moroko zimetwaa kombe hili mara 31. Tangu miaka ya 90 africa kaskazini inatawala kwenye michuano ya vilabu afrika.