Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

RRONDO

Platinum Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
57,730
Reaction score
129,410
IMG_20180125_171553.jpg
Kwa hii nauli ya Uber ya 1000/- kwa trip fupi fupi kuna kila dalili Bajaj na Bodaboda zitakosa wateja.
Umbali ambao Uber wanachaji 1000/- bajaj wanatoza 2000-3000/-. Kwa mtaji huu inaweza kuwa nafuu kutumia Uber kuliko gari yako.
 
Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.
 
Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.
Leo na jana nimelipa 1,000/-
 
mkuu kutoka wp mpk wp hyo?? mana navyojua mm kiwango chao cha chini ni buku 3 unless uwe na promotion
Maybe promo but I paid 1000/-. Umbali huo huo bajaj alinipiga 3000/-
 
Back
Top Bottom