Ubalozi wa Urusi nchini Kenya

Ubalozi wa Urusi nchini Kenya

Nikilewa mniache

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
19,278
Reaction score
51,866
Ubalozi wa Urusi nchini Kenya ulipost hii picha Facebook 🤣🤣🤣
Screenshot_2025-04-09-18-05-02-65.png
 
Ujumbe wa picha kwamba vita vya kibiashara kati ya USA na China vinaiweka ulaya njia panda huku Urusi ikitavuna pepcon taratibu ikitazama mechi 😄
Ulaya nao wanajipanga kuitandika Marekani tariffs. Marekani ni kama anaipush China na Ulaya wawe kitu kimoja dhidi yake. Huu mchezo Mrusi anauangalia tu kama observer
 
Back
Top Bottom