Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,278
- 51,866
Ubalozi wa Urusi nchini Kenya ulipost hii picha Facebook 🤣🤣🤣
DaahWakuu hii habari ni ya kweli?View attachment 3297973
Nimeenda kuhakikisha ni kweli ubalozi wa Urusi nchini Kenya wamepost hii picha Facebook 🤣🤣🤣🤣
Xi Jinping umeielewa hii?View attachment 3297980
Ujumbe wa picha kwamba vita vya kibiashara kati ya USA na China vinaiweka ulaya njia panda huku Urusi ikitavuna pepcon taratibu ikitazama mechi 😄🤣🤣🤣 oyaaa admin kavurugwa
Urusi amekaa anaangalia kinachoendelea hapo uwanjani....Nimeenda kuhakikisha ni kweli ubalozi wa Urusi nchini Kenya wamepost hii picha Facebook 🤣🤣🤣🤣
Xi Jinping umeielewa hii?View attachment 3297980
Ujumbe wa picha kwamba vita vya kibiashara kati ya USA na China vinaiweka ulaya njia panda huku Urusi ikitavuna pepcon taratibu ikitazama mechi 😄
UshuruHivi Tariff kwa kiswahili tuiteje?
Wataalamu neno moja tu
TaxUshuru
Naona mmoja kaandika kwenye uziUshuru
Yesu na mariamu 🤣🤣Naona mmoja kaandika kwenye uzi
Vilipizi 😄 🤣
TozoHivi Tariff kwa kiswahili tuiteje?
Wataalamu neno moja tu