wazungu wangese sana labda kwa sababu wao hawalipi mahari huku unajikwina unatoa mahari halafu usiku agomee shenzzz kwani umesikia naogopa kulala peke yangu hadi nije nikuchukue kwenu na kukuweka kwangu huu ni upuuzi
wazungu wangese sana labda kwa sababu wao hawalipi mahari huku unajikwina unatoa mahari halafu usiku agomee shenzzz kwani umesikia naogopa kulala peke yangu hadi nije nikuchukue kwenu na kukuweka kwangu huu ni upuuzi
watuondolee uzungu wao hapa.Mzima wa afya,hayupo kwenye cku zake,alafu aninyime nipige nyeto?
watuondolee uzungu wao hapa.Mzima wa afya,hayupo kwenye cku zake,alafu aninyime nipige nyeto?
kamusi ya Tuki mwaka 2011:
kubaka;- kufanya mapenzi na mtu bila ridhaa yake.
inaweza kuwa kweli maana sio muda wote mtakutana na hisia sawa za kufanya mapenzi, anaweza kufanya kukuridhisha tu ila haikua ridhaa yake!!!
Hahahahaaaaaaaa, mkuu Yahoo umenivunja mbavu hapo kwenye redi
kwenye ndoa hakuna ubakaji. hiari ya kufanya ngono tunaiacha kwenye viapo
Ni kweli kabisa. Raping ipo sana katika ndoa zetu na hili halitakwisha kama haijaja sheria ya kurekebisha hizi customary laws za mwanamke kuwa chini ya mwanamme na kutumika kama chombo cha starehe kwasababu tu ulimlipia mahari.
Ifike mahali muielimishe jamii juu ya mahari faida na hasara zake na yakionekana ndio chanzo yapigwe marufuku kama ulivyopingwa ukeketaji.
Ni vema wanandoa wakapata elimu juu ya ndoa badala ya kitchen party ya upande mmoja tu.