hili la watoto wa kike kubakwa huko jkt labda wanafunzwa uvumilivu na uzalendo katika ndoa, jeshini wanawake kubakwa ni jambo la kawaida kabisa, hata US ARMY hii kitu ipo na haiwezi kwisha leo.[/QUwabunge mliowzchagua tena wakiwemo wapinzani ndo waliona vyema kabisa dada zetu wapew ukimwi akaf mwshon waseme wanajiuza wakiwa chuon ndo maana wana ukimwi.. ila inauma saaaana hasa kwa sisi ambao ubavu zetu bado wapo huko na wanaotarajia kupelekwa huko... kwanza cion faida yyote mtu kulazimishwa uzalendo sanasan wanaenda kuongeza machungu tu bcoz mtu akishafanyiwa unyama ni lazima awe na hasira ya kulipiza.. daah dem wangu cjui atapona kweli coz mkali hatar
Mkuu huyo ubavu wala habakwi......anachojoa mwenyew kwa hiyari yake....atakuletea ukimwi....angalia hii😛🙄
Kuna habari inayovuma kua kuna wimbi kubwa la ubakaji kwenye kambi za(ya) mafunzo za(ya) JKT kwa wnafunzi waliohitimu KIDATO CHA SITA wanaojiunga kwenye kambi hizo kwa visingizio vya KUWAFUNZA UZALENDO..
Habari hii sasa sio siri tena na mbinu wanayotumia hawa wanaotoa mafunzi kwa dada zetu ni kua;asubuhi wakati bado kuna kiza kinene wanawapeleka watu kwenye mashamba ya kambini na wanawapangia maeneo kwa umbali mkubwa sana kutoka kwa mwingine,baada ya hapo watoto wakike hubakwa na kutishwa endapo watapiga kelele..
Kuna Mwanafunzi anaedaiwa kufariki Tabora baada ya kuzidiwa na mazoezi ya Jeshi, Halima Kitangilwa (20) amezikwa leo Dar,Lakini Baba yake amesema amedanganywa kuhusu chanzo cha kifo lakini ndugu zake waliokuwepo jeshini wamemwambia ukweli(Kua alibakwa hali iliyomsababishia maumivu hadi kufa), analaumu pia hajapewa ripoti ya uchunguzi wa mwili...kwa kweli sasa tunakoelekea ni kubaya..
Wsichana wengi wanajilegeza wenyewe wachache ndiyo labda wanabakwa
hili la watoto wa kike kubakwa huko jkt labda wanafunzwa uvumilivu na uzalendo katika ndoa, jeshini wanawake kubakwa ni jambo la kawaida kabisa, hata US ARMY hii kitu ipo na haiwezi kwisha leo.[/QUwabunge mliowzchagua tena wakiwemo wapinzani ndo waliona vyema kabisa dada zetu wapew ukimwi akaf mwshon waseme wanajiuza wakiwa chuon ndo maana wana ukimwi.. ila inauma saaaana hasa kwa sisi ambao ubavu zetu bado wapo huko na wanaotarajia kupelekwa huko... kwanza cion faida yyote mtu kulazimishwa uzalendo sanasan wanaenda kuongeza machungu tu bcoz mtu akishafanyiwa unyama ni lazima awe na hasira ya kulipiza.. daah dem wangu cjui atapona kweli coz mkali hatar
...acha majigambo brooh!
...huna dem mkali acha kuudanganya umma!
Kuna habari inayovuma kua kuna wimbi kubwa la ubakaji kwenye kambi za(ya) mafunzo za(ya) JKT kwa wnafunzi waliohitimu KIDATO CHA SITA wanaojiunga kwenye kambi hizo kwa visingizio vya KUWAFUNZA UZALENDO..
Habari hii sasa sio siri tena na mbinu wanayotumia hawa wanaotoa mafunzi kwa dada zetu ni kua;asubuhi wakati bado kuna kiza kinene wanawapeleka watu kwenye mashamba ya kambini na wanawapangia maeneo kwa umbali mkubwa sana kutoka kwa mwingine,baada ya hapo watoto wakike hubakwa na kutishwa endapo watapiga kelele..
Kuna Mwanafunzi anaedaiwa kufariki Tabora baada ya kuzidiwa na mazoezi ya Jeshi, Halima Kitangilwa (20) amezikwa leo Dar,Lakini Baba yake amesema amedanganywa kuhusu chanzo cha kifo lakini ndugu zake waliokuwepo jeshini wamemwambia ukweli(Kua alibakwa hali iliyomsababishia maumivu hadi kufa), analaumu pia hajapewa ripoti ya uchunguzi wa mwili...kwa kweli sasa tunakoelekea ni kubaya..
Mwe jamani Agness wangu..
Mwe jamani Agness wangu..
Usijali kaka...akiosha tu inakuwa mpya tena......lol