Ubaguzi wa kikanda waanza kuitesa CCM

Ubaguzi wa kikanda waanza kuitesa CCM

Status
Not open for further replies.
Ameona wanoshughulikiwa na kushikishwa adabu ni watu ambao si wachagga na hususan wa kanda ya ziwa vile:
- Amani Kabouru,
- Chacha Wangwe,
- Zitto Kabwe,
- Samson Mwigamba,
- Dr. Kitila Mkumbo,
- John Shibuda,
- Mkosamali,
- Shitalamba
- Kafulila,
- Machege nk.
- Mtela Mwampamba
- Juliana Shonza
Lazima ajiulize kuna nini hapo?
Hao wooote uliowataja ni pandikizi wa CCM ambao walikuwa hawapo kwa ajiri ya ukombozi wa TAIFA HILI bali walipewa kazi maalumu na CCM, ila ishu imejulikana mapema mno kabla ya mission yao kukamilika.Wachaga ni watu wenye msimamo thabiti huwa siyo watu wa kulaghaiwa kilahisi kama the least.
 
Mohamedi Mtoi sikutegemea kama unaweza kwenda chini kiasi hichi
Hao mawaziri wakuu walichaguliwa na wakaskazini wenzao?..........NOPE

Nyerere hakuwa mkaskazini
Mwinyi hakuwa mkaskazini
Mkapa hakuwa mkaskazini
Na sasa JK si mkaskazini

CDM ni kundi la wa kaskazini kupendelea wakaskazini wenzao
 
Last edited by a moderator:
Mkuu

Tulia ukiwa unachangia hoja usiyumbe yumbe kama mnazi ulioko ufukweni.

Mada hapa inahusu ukanda wewe umesha rukia kwenye udini!!!.

Nikiri kwenye orodha nimesahau kumtaja Mnyika ila kumbuka kuwa Mnyika ni Msukuma na si mpare kama unavyosema, lakini kama angekuwa mpare tatizo liko wapi kama angefanya kazi yake vizuri na ufanisi kama anavyo fanya sasa?! Ungemhukumu kwa kuwa ni Mpare kutoka kaskazini?!

Kwa kuwa umegusa kionjo chako kingine cha udini ngoja nikusaidie hapa.

Kwenye top leadership ya chadema iliyokuwa na viongozi sita kabla ya MM na mzee Saidi Arfi kujiuzuru ilikuwa na muonekano huu.

1. Freeman Mbowe - mkristo KKKT (mwenyekiti)

2. Saidi Arfi - Muislamu (Alikuwa makamu kabla ya kujiuzuru)

3. Said Mohamedi- Muislamu (Makamu mwenyekiti Zanzibar)

4. Dr Wilbroad Slaaa - Mkatoliki, Katibu mkuu

5. Zitto Kabwe - Muislamu, (Naibu aliye vuliwa nafasi zake)

6. Hamadi Yusuph - Muislamu (Naibu katibu Zanzibar).

kati ya viongozi sita wa chadema viongozi wawili pekee ndio wakristo.

Hivi viongozi hao wangeamua kupitisha maamuzi wao wenyewe wakikaa kwenye vikao vyao na ku-base kwenye imani zao za kidini nani wangeshinda kwa wingi wa kura?! Yaani waislamu 4 dhidi ya wakristo 2.

Acheni upumbavu, uislamu hautetewi kinafiki kiasi hicho! nilitegemea ungeanza kujiuliza kwa nini moja ya hukumu za dini yetu ni kumtaka kijana wa kiislamu ambaye ni balehe aoe pindi akifikisha miaka 18 lakini bado MM hajaoa mbali na kuwa na mafao na mishahara ya kibunge huku akiwa pia anagusa vilevi haramu kinyume na mafundisho ya dini. Hivi ndio tunatakiwa kuulizana kama unataka kusimamia uislamu sio kuutumia uislamu kueneza chuki kinyume na misingi ya dini yenyewe.
Acha upumbavu wewe Zitto na Arfi siyo viongozi wa Chadema.

Ulivyokuwa juha unashangaa Zitto kutokuoa lakini haushangai padri anavyozini bila ndoa.

Lini Dr.Slaa alifunga ndoa?

Lini Mnyika alifunga ndoa?

Lini Sugu alifunga ndoa?

Acha ubwegee wewe msukule.

Mimi takuwa mdini kuzidi mweye chama aliyesema kwa nini sisi wakirsto tupo wachache kwenye wajumbe wa tume ya katiba, hauwezi kumpiga jaribu uone kama haujafukuzwa kama mbwa.

Wewe njaa kali utanisaidia ni mimi mwalimu wa upe umeona kazi ngumu amekwenda kuwa mtu wa Mbowe na Dr.Slaa.

Leo mimi na wewe tu umelianzisha mwenyewe nakujibu kutoka na kauli zako kwangu, Mohamedi na Chadema wapi na wapi. Teh teh teh.
 
Chadema badala ya kuhamasisha umoja na mshikamano wa kitaifa, nyie mmekalia ubaguzi na utengano
wewe tumia akili au kwa kuwa unalipwa elfu 7 zinakufanya akili ikuiishie kabisa, alianzisha hayo mambo ya ubaguzi si ni nyie magamba sasa unataka cdm iyakemee vipi? hii lazima ile kwenu magamba maana mmezoea cheap politics, siasa za majitaka, mkiona chama chenye nguvu ohoo mara cha waislamu, mara cha wakristo mara wachaga mara wakaskazini sasa itakula kwenu pum.........f
 
Umemsahau Wasira Mkiristo, Nape Mkirsto, Mwigulu Mkirsto.

Tutajie basi na ya Chadema kamanda.

Amemsahau pia JK, mchagga, mkristu.

Ukienda kwenye uongozi mkuu wa serikali yetu.

Rais, mchagga muislam
Makamu, mchagga muislam
Waziri mkuu, mmasai mkristo.
rais Zanzibar, mchagga mwislam
makamu wote wawili, wachagga waislam

Sehemu nyeti.
Amiri jeshi mküu, mchagga muislam
Mkuu wa majeshi, mpare Mkristo
IGP, Shemeji muislam
waziri wa ulinzi, mwanetu mwislam
Spika, jinsia mkristo.

CCM.
Ukimtoa Makamu bara na Nape (kama kweli ni mgalatia).... Kinana, Shein, Zakhia, Asha Rose ....

Kwa kifupi udini na ukabila ni sumu mbaya sana. Tusiuendekeze wakuu. Mambo mengine yanatokea kwa bahati mbaya/nzuri.
 
Ukisikia watu wa ccm wanaghani ukaskazini jua kuwa hawamaanishi Tanga, Arusha, wala Manyara bali wanaendeleza chuki za kijinga na kipuuzi dhidi ya Wachaga.

Mambo yote yatapita lakini CHADEMA itasimama,ni suala la muda tu.Mwisho wa uzushi ni aibu,ukipuliza majivu utachafuka mwenyewe,ndicho CCM wanachofanya,hatutashangaa wakichafuka wenyewe.
 
Mohamedi Mtoi sikutegemea kama unaweza kwenda chini kiasi hichi
Hao mawaziri wakuu walichaguliwa na wakaskazini wenzao?..........NOPE

Nyerere hakuwa mkaskazini
Mwinyi hakuwa mkaskazini
Mkapa hakuwa mkaskazini
Na sasa JK si mkaskazini

CDM ni kundi la wa kaskazini kupendelea wakaskazini wenzao

Unafikiri ni kwanini hao marais waliwateua hao wakaskazini kuwa mawaziri wakuu? Usisahau kati ya hao wanne, watatu wametokea mkoa mmoja...
 
Last edited by a moderator:
Acha upumbavu wewe Zitto na Arfi siyo viongozi wa Chadema.

Ulivyokuwa juha unashangaa Zitto kutokuoa lakini haushangai padri anavyozini bila ndoa.

Lini Dr.Slaa alifunga ndoa?

Lini Mnyika alifunga ndoa?

Lini Sugu alifunga ndoa?

Acha ubwegee wewe msukule.

wewe Ritz ndoa ya mtu inakuhusu nini au unataka kuomba kuo....w maana kuna mambo mengine ni binafsi sana kwanini tunataka kuyajaili hapa? unataka tuanze kujadili hadi vitanda vya watu chumbani vimekaaje? ni haki kweli hiyo? kwanini hautumii akili au unashida nyingine ya ziada maana kuna vijana sio riziki siku hizi, haiwezekani watu wazima tunajiita GREAT THINKERS alafu tunakuja kujadili mambo binafsi ya kwenye vitanda vya watu hapa jukwaani.
 
Mkuu, tatizo lipo kwa hao wawekezaji wenyewe. Badala ya kuchagua kuweka miradi yao kwenye maeneo wazi, wao wanataka yale ambayo yanakaliwa na wananchi


Wawekezaji hawawezi kuwa na tatizo kwani wao sio wanaoamua wapi wapewe; tatizo liko kwa viongozi wa nchi yetu na tamaa zao za kutaka hongo la 10% at the expense ya kuwadhalilisha wananchi wanaolazimishwa kuhama kila kukicha!!!
 
Hii mada ni nzuri sana tena nampongeza M. Mtoi ameijenga vizuri kwa data na ameitetea vizuri zaid kwa data.

Ninamashaka makubwa na Bwana Ritz ambaye anaonekana kulenga kuichafua hoja ya Mtoi ili ifungiwe hili jambo linasikitisha na kuumiza.

Ukanda, udini na ukabila nivitu vya kukemea na kupiga vita kwa nguvu zote, maana madhara yake nimakubwa kwetu sote.
 
wewe Ritz ndoa ya mtu inakuhusu nini au unataka kuomba kuo....w maana kuna mambo mengine ni binafsi sana kwanini tunataka kuyajaili hapa? unataka tuanze kujadili hadi vitanda vya watu chumbani vimekaaje? ni haki kweli hiyo? kwanini hautumii akili au unashida nyingine ya ziada maana kuna vijana sio riziki siku hizi, haiwezekani watu wazima tunajiita GREAT THINKERS alafu tunakuja kujadili mambo binafsi ya kwenye vitanda vya watu hapa jukwaani.
Usipende kudandia nani kaleta mambo ya ndoa kama siyo huyo kauzu mwenzako mie nilichofanya ni kumjibu tu.
 
Kwa kifupi udini na ukabila ni sumu mbaya sana. Tusiuendekeze wakuu. Mambo mengine yanatokea kwa bahati mbaya/nzuri.

Ningekuona umedhamiria kutoka moyoni kwa mananeno yako hapo juu kama ungemjibu mleta mada Mohamedi Mtoi aache ukabila na ukanda
 
Last edited by a moderator:
Hao wooote uliowataja ni pandikizi wa CCM ambao walikuwa hawapo kwa ajiri ya ukombozi wa TAIFA HILI bali walipewa kazi maalumu na CCM, ila ishu imejulikana mapema mno kabla ya mission yao kukamilika.Wachaga ni watu wenye msimamo thabiti huwa siyo watu wa kulaghaiwa kilahisi kama the least.

Kuna msimamo na jadhba kijana, sasa hao si eti wana msimamo hapana bali wana jadhba na ndio inawapelejea kupata uchu wa madaraka,
Hamna jingine,

Wenye msimamo kwa mfano uutakao wewe, huyo mchaga haingii kwa mkurya kama Chacha Wangwe labda kwa njia mbadala kama ambazo tumezishuhudia sote na zinazoendelea

Ongea vitu kwa tafiti si kwa kusikia na kushabikia
 
Usipende kudandia nani kaleta mambo ya ndoa kama siyo huyo kauzu mwenzako mie nilichofanya ni kumjibu tu.

Yaan Ritz hebu soma tena ulichokiandika hapa chini kisha jiulize je? Kinaswihi masikioni na machoni pa wanadamu wanaojiheshimu?


By Ritz
Acha upumbavu wewe Zitto na Arfi siyo viongozi wa Chadema.

Ulivyokuwa juha unashangaa Zitto kutokuoa lakini haushangai padri anavyozini bila ndoa.

Lini Dr.Slaa alifunga ndoa?

Lini Mnyika alifunga ndoa?

Lini Sugu alifunga ndoa?

Acha ubwegee wewe msukule
 
Acha upumbavu wewe Zitto na Arfi siyo viongozi wa Chadema.

Ulivyokuwa juha unashangaa Zitto kutokuoa lakini haushangai padri anavyozini bila ndoa.

Lini Dr.Slaa alifunga ndoa?

Lini Mnyika alifunga ndoa?

Lini Sugu alifunga ndoa?

Acha ubwegee wewe msukule.

Mimi takuwa mdini kuzidi mweye chama aliyesema kwa nini sisi wakirsto tupo wachache kwenye wajumbe wa tume ya katiba, hauwezi kumpiga jaribu uone kama haujafukuzwa kama mbwa.

Wewe njaa kali utanisaidia ni mimi mwalimu wa upe umeona kazi ngumu amekwenda kuwa mtu wa Mbowe na Dr.Slaa.

Leo mimi na wewe tu umelianzisha mwenyewe nakujibu kutoka na kauli zako kwangu, Mohamedi na Chadema wapi na wapi. Teh teh teh.
Mbona unatoa mapovu badala ya kujadili hoja?
 
Tofautisha msimamo na UNG'ANG'ANIZI.CHACHA WANGWE alikuwa king'ang'anizi hata kwa mambo yasiyo na faida kwa chama wala taifa,huo sio MSIMAMO ILA NI UNG'ANG'ANIZI.
 
Mkuu

Tulia ukiwa unachangia hoja usiyumbe yumbe kama mnazi ulioko ufukweni.

Mada hapa inahusu ukanda wewe umesha rukia kwenye udini!!!.

Nikiri kwenye orodha nimesahau kumtaja Mnyika ila kumbuka kuwa Mnyika ni Msukuma na si mpare kama unavyosema, lakini kama angekuwa mpare tatizo liko wapi kama angefanya kazi yake vizuri na ufanisi kama anavyo fanya sasa?! Ungemhukumu kwa kuwa ni Mpare kutoka kaskazini?!

Kwa kuwa umegusa kionjo chako kingine cha udini ngoja nikusaidie hapa.

Kwenye top leadership ya chadema iliyokuwa na viongozi sita kabla ya MM na mzee Saidi Arfi kujiuzuru ilikuwa na muonekano huu.

1. Freeman Mbowe - mkristo KKKT (mwenyekiti)

2. Saidi Arfi - Muislamu (Alikuwa makamu kabla ya kujiuzuru)

3. Said Mohamedi- Muislamu (Makamu mwenyekiti Zanzibar)

4. Dr Wilbroad Slaaa - Mkatoliki, Katibu mkuu

5. Zitto Kabwe - Muislamu, (Naibu aliye vuliwa nafasi zake)

6. Hamadi Yusuph - Muislamu (Naibu katibu Zanzibar).

kati ya viongozi sita wa chadema viongozi wawili pekee ndio wakristo.

Hivi viongozi hao wangeamua kupitisha maamuzi wao wenyewe wakikaa kwenye vikao vyao na ku-base kwenye imani zao za kidini nani wangeshinda kwa wingi wa kura?! Yaani waislamu 4 dhidi ya wakristo 2.

Acheni upumbavu, uislamu hautetewi kinafiki kiasi hicho! nilitegemea ungeanza kujiuliza kwa nini moja ya hukumu za dini yetu ni kumtaka kijana wa kiislamu ambaye ni balehe aoe pindi akifikisha miaka 18 lakini bado MM hajaoa mbali na kuwa na mafao na mishahara ya kibunge huku akiwa pia anagusa vilevi haramu kinyume na mafundisho ya dini. Hivi ndio tunatakiwa kuulizana kama unataka kusimamia uislamu sio kuutumia uislamu kueneza chuki kinyume na misingi ya dini yenyewe.

Ha haaaa muda si mrefu utakuwa murtadi sikuombei ufikie huko ila matendo yako,hivi wewe ulijitahidi kumlingania katibu mkuu wako ache kuishi na kimada si bora aliyekuwa naibu hajawahi kuoa kuliko mtu aliye apa kutumikia useja akaona vimwana ni bora kuliko imani yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom