Ubadhirifu Ofisi ya CAG

Mpaka hapa ndio utaona watz tulivyo ukiona wanashangilia jipu kutumbuka uje haiko kwake lkn ikimgeukia Lazima atalalama Habari inajieleza inaeleweka....CAG ameulizwa na majibu aliyotoa inaonyesha nikweli ila anataka kumjua alietoa hizo Taarifa sasa kipi hakieleweki hapa
 
The guy is smart, kuanzia kote alikopita. waulize waliopita b.com pale mlimani watakuelezea uadilifu wa huyo jamaa.
Mkuu kwanini usieleze wewe badala yakutaka watu wakaulize hao jamaa waliopita kwake...Ikiwa haijulikani watawapata wapi
 
CAG huwa anakagua sehemu kibao na report zake zimejaa mashirika au idara za serikali ambazo hazifuati taratibu za tenda au manunuzi. Labda ofisi ya CAG iwe mfano kwa hayo. Isiwe mstari wa mbele kukosoa wakati wao wenyewe hawafuati taratibu zilizowazi.

Nyumba aliyokaa Mzee Utouh yeye kaikarabati kwa gharama ambayo ingejenga nyumba nyingine yenye hadhi ya kukaa afisa mwandamizi wa serikali.

Yeye binafsi kwenda kununua samani kule Dubai ni kali ya mwaka. Huyu ni jipu tu.
 
Kozo Okamoto kama mdhibiti anafanya ufisadi namna hii ni nani atamdhibiti mwenzake??
Kama ni kweli hilo ni jipu lazima lipasuliwe haraka tusizidi kuitia nchi yetu hasara!!
Standard ya kutumbua iwe maintained, isibague, mafisadi wafurushwe hasa huyo alitakiwa kuwa kioo chetu!!
 
MTANZANIA Nadhani Kuna Mtu Au Kikundi Cha WATU, Ambacho Kina Kazi MAALUM Ya Kuhakikisha CAG ASSAD Anang'oka!!!! Kwanza Walianza Na Kusafiri Nje Ya Nchi Bila Idhini /Baraka Za Ofisi Ya RAIS!! Imechemka Kiana, Now Wamekuja Na Hili Tena!! Na Likipita Tutaraji Lingine Jipyaa!!
 
Wanatakiwa kukaguliwa na Bosi ya Wahasibu NBAA na any neutral auditor
 
Anatakiwa yeye atueleze na team huru ikafanye Management Audit
 
Yani gazet limeibua tuhuma nzito watu wanamtetea jamaa kana kwamba yeye si binadamu na hakengeuki. Kama gazet limeandika uongo tungesikia wakikanusha lakin mpaka sasa kimya. Hivyo hatuna budi kuamini tuhuma hizo
 
tunataka yeye mwenyewe ajitetee mojawapo ya tatizo la rais aliyepita ni kufanya teuzi za kishikaji
 
Anaweza kuwa smart lakin siyo malaika,kama hayo mambo yamefanyika chini ya utawala wake lazima yachukuliwe hatua
Nakubaliana na wewe. Awamu ya tano ina zero tolerence na ubadhilifu wa mali ya umma. Huyu jamaa naye akae pembeni kupisha uchunguzi. Nadhani Mzee Utoh bado ana nguvu za kuweza kwenda na kasi hii ya Kazi tuu.

Hivi si ofisi hii juzi tu ilikaidi zuio rais la kusafiri nje ya nchi?
Nani hajui kwamba ofisi hii ya CAG inahitaji kusafishwa sawa na ile ya TAKUKURU?
Maafisa masululi (accounting officers) wabadhilifu ndio hupewa clean certificates baada ya kuwakatia dau wakaguzi hawa kutoka ofisi ya CAG. Kwa kuwa Maafisa masululi wasiowabadhilifu huwa hawana cha kuwamegea wakaguzi hawa, basi huambulia rundo la audit querries na vyeti vichafu!!!
Wananchi wamechoka na hali hii.. Asiyetaka kubadilika apishe tu.
 
Whistling....
 

Attachments

  • IMG-20160121-WA0007.jpg
    79.6 KB · Views: 35
The guy is smart, kuanzia kote alikopita. waulize waliopita b.com pale mlimani watakuelezea uadilifu wa huyo jamaa.
Usome b.com kama mwanafunzi utauona usmart wake katika utendaji?....Labda kidogo ungeniambia ww ulikiwa staff mwenzake!

Lakini haijalishi pia kwa kuwa kila alipopita hakufisadi, hivyo kwa kuwa CAG hawezi kupiga mabilioni, wenda wakati na nafasi haikuwa wakati huo.

Lamsingi, ni uchunguzi ufanyike. Asionewe. Na kama amepiga pesa, hakuna huruma akamuliwe tu, hamna namna eeh.
 
hiyo sana. ila kumbuka hakuwa prof. tu pale udsm bali alikuwa kiongozi kwenye taasisi nyingi za kitaifa na kimataifa. mfano NBAA. fanya uchunguzi kwanza kabla hujamjaji mtu.
 
TZ zaidi ya uionavyo. Mtatupa ugonjwa wa moyo jmn. Mtuache tusijue
 
Naona huko Mtanzania kuna mradi wa kumchafua Prof.Asad,walianza na kwenda nje bila kibali.Na huyo afisa wa CAG anayetumiwa tutampata tu,asidhani yupo salama
Ni mimi hapa,hapo vipi,? Nitafute uone mwisho wa tunnel, fisadi ni fisadi tu..tick tac
 
hii habari imekaa kimipasho mipasho tu.majungu tu.
 
hiyo sana. ila kumbuka hakuwa prof. tu pale udsm bali alikuwa kiongozi kwenye taasisi nyingi za kitaifa na kimataifa. mfano NBAA. fanya uchunguzi kwanza kabla hujamjaji mtu.
huko kote alipewa na jk kulinda marafiki zake,nbc pia alikuwa mwenyekiti,haijalishi mbona donald mbando alikuwa DMO,RMO............hadi ukatibu mkuu na bila kosa lolote amepigwa chini.hapa ni kuangalia nani kaharibu wapi atunguli.

ASSAD NA ATUNGULIWE TU
 
Hizo kashfa za kuchafuana hazina mantiki kwa sada. Magufuri anawataka wapiga kazi na utendaji unao onekana. Fitna, majungu sio muda wake.
 
Sijakuelewa, so tuhuma hizi ni za kweli au sio kweli? Tuanzie hapo kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…