KUna age limit... Bachela wa 55 years (namaanisha ambaye hakuwahi kuoa au kuolewa) usije ukadhani ana raha ile ile kama bachela wa 25 years..!!! Ukishamaliza kuruka ruka ndo utajuwa ubaya wa ubachela..
Kuna vitu ukivifanya ukiwa bachela mwenye 25 years utaonekana upo sawa, lakini ukifanya yale yale ukiwa bachela mwenye 55 years HADI WEWE MWENYE UTAJISTUKIA...
KUna age limit... Bachela wa 55 years (namaanisha ambaye hakuwahi kuoa au kuolewa) usije ukadhani ana raha ile ile kama bachela wa 25 years..!!! Ukishamaliza kuruka ruka ndo utajuwa ubaya wa ubachela..
Kuna vitu ukivifanya ukiwa bachela mwenye 25 years utaonekana upo sawa, lakini ukifanya yale yale ukiwa bachela mwenye 55 years HADI WEWE MWENYE UTAJISTUKIA...