Fikirieni baba zenu wangekuwa na muundo huo wa maisha wa kutokuwa na mke. Mngeishia bafuni kama shahawa.Wakati mwingine ni bora mtu ukae kimya kuficha ujinga.
Hapoo kwenye kupikaa....naeza enda gengeni kununua mazaga....kufika home najikuta nimesahau nunua vitunguu..narudi tenaa gengeni....mara salt imeishaa ata sijuiii......hatari tupu
Asanten nafarijika nikiona wanachama 2nafarijiana kiaina .maana kuna kadada kanang'ang'ania kunitumbukiza kwenye ndoa alaf ndo kwanza age inasoma 23 big no.