Wakuu najua mko pia,
Ubachela raha sana,ila usiniinge kabisa.
Kwanza akuna kubanua kama ambao wako kwenye ndoa
Unafanya mambo yako kwa kujiamini sana
Upangiwi cha kufanya
Unarudi kwako mda unaotaka
Unaishi kwa furaha sana
Unajipenda sana
Mabachela mkuje hapa tupeana stori mbili tatu