Ubabe hadi Canada? This time you're done

Walipe deni ndege yetu au yao maana wanaishia kuipanda wao tu.
 
Hili la kukamatwa ndege zetu mara kwa mara, wengi wetu hata wale tunaoamini ndio maguru wetu, wanalichukulia kisiasa sana badala ya kuangalia kwa upana zaidi, hasa kibiashara.

Binafsi naliona upo uwezekano kuwa ni vita ya biashara "trade war" dhidi ya hili shirika (la Rais, siyo letu) changa linalotaka kuanza biashara kimataifa.

Shirika hili linaloendeshwa kisiasa (siyo kibiashara) kwa kutumia kodi za wanyonge, bila ukaguzi wa matumizi na mapato, automatically linapata kile wanaita "undue advantage" dhidi ya washindani ambao mashirika yao yanakaguliwa kila baada ya miezi mitatu kuyapima uhai.

Kwa kutumia madhaifu yetu (au ya Rais wetu), washindani wamebuni mpango mkakati wa kuhakilisha shirika linaanza kwa taswira kuwa hampo serious na biashara, na wala hamuwezi kuwa reliable partners kwenye biashara.

Madhara yake tuliyaona from day one.

Mfano, badala ya wauzaji wa ndege kuingia makubaliano na sisi ya mikopo nafuu na ya muda mrefu kama wanavyoingia na makampuni mengine, wao wakataka wapewe chao kabisa. Ili mtakapoangukia pua msije mkaanza kusumbuana mahakamani.

Madhara mengine ambayo ni wazi tutayalipia kwa gharama kubwa ni uwezo wetu kuaminika na wateja wa huko nje tunakoamini kuwa tutawafata watalii. Huko sina uhakika kama kuna "mtalii" atakayekubali kupanda ndege ambayo inaweza kupigwa stop wakati wowote. Hii ni sawa na kumshawishi abiria apande basi ambalo anaamini kuwa linaweza kumlaza njiani wakati wowote.

Kwa mwendo huu, sina uhakika kama kodi za wanyonge bado zitatosha kulipia hasara zote hizo kwa ufahari tu wa kuwa angani. Sina uhakika kama wakija wenye akili kuongoza siku za mbeleni kuwa wataendelea kuunguza pesa za wanyonge ili tuwe angani basi.

Nihitimishe
 
Nadhani hizi ndege ndiyo zimesababisha watumishi wa hali ya chini kutolipwa malimbikizo yao kwa wakati.
Lakini nadhani kwa wenye mishahara mikubwa wanaililia maslahi yao yasishushw
 
lipeni deni acheni usen..e..
Mnadivert attention tu...

Kwanza amkeni mkapige kura
 
Wametumia ground ipi ya kisheria kuikamata Ndege yetu.
Mwezi uliopita Zitto Kabwe alikuwa Africa kusini alipitia Burundi kwenda kushawishi ndege yetu Watanzania ikamatwe eti awe na Nguvu kisiasa kwa Kushirikiana na akina Marem.
Ameshindwa mchezo wa kuisaidia nchi yake ya BRD kwa kutaka Kigoma iwe dhaifu kuliko kwao. Endelea Zitto na Genge lako
 

Attachments

  • IMG-20191121-WA0016.jpg
    39.6 KB · Views: 7

Asante P lakini mbona hudadavui kama ilivyo kawaida yako pls wengine hatujasikia!
 
Uzalendo hauna uhusiano wowote na wizi au dhuluma
Hujitambui. Na wala hunafamilia, pengine hutaweza kuwa nayo.
Uzalendo ni kuipenda familia yako hats kama imejaa majizi na zurumati.
 
Bro hivi nikija kwako kukuibia ni uzalendo au ?
 
husikii wanasema serikali ya magufuli,yaani wamepokonya mamlaka ya wananchi,kila.kitu chema ni chake na kibaya tunatakiwa kusimama wote.
 
janga la kujitakia.

ukiwa ni mwajiri (uwe bosi katika kampuni au hata mama wa nyumbani vs house girl), mwajiriwa wako akikosea hupaswi kumbembeleza bali kum discipline (more often than not katika mchakato wa discipline maneno ya shombo hayakwepeki).

sisi Watanzania ndiyo waajiri (yes, mabosi) wa rais wa nchi hii.... so, anapokosea hakuna cha mswalia mtume lazima awe duly disciplined!
 

Hatukatai kuwa wamoja, na moral support tunatoa sana na uzalendo tunao watz wote ndio maana tunashauri deni lilipwe, tuepukane na hii fedhea!
Hata mleta mada ni mzalendo sana, anapaswa aungwe mkono....
 
Mkuu inafika mahala unafiki haulipi.
Mtu wa kawaida atajiuliza yafuatayo;
  • Kuna deni au hakuna deni?
  • Je huko Sauzi ndege iliachiwa on technical grounds ya kesi yenyewe au Mkulima alionekana hatudai?
  • Kuikamata ndege sasa huko Canada si Mkulima alikuwa na grounds ku convice mahakama huko Canada kufanya hiyo?
  • Je, Serikali yetu imesha kaa chini na huyu Mkulima ku settle out of court?
  • Kuna uhakika gani kuwa ndege nyingine haitakamatwa katika mazingira ya kupuuza madeni ambayo korti za nchi nyingine zinaona ni halali?
  • Kuingiza siasa kuwa eti tuwe na uzalendo dhidi ya ubeberu mi naona hapa si mahali pake, watu hawafanyi kazi watarajiwayo kufanya, bla bla aint making it.
Kwa kifupi Pasco, hapo inahitajika akili ya ziada na uzalendo hautairudisha ndege bali strategic business thinking.

Kina Kabudi kujipiga piga kifua haisaidii sana.
 
Bloody idiot!!
 
Hatuwezi kuwa wamoja kwenye tabia za hovyo za kudhulumu mali na haki za watu wengine.
 
Mimi nashauli kwamba huyo Prof Kabudi aliyetangaza hizi habari za kukamatwa kwa hiyo ndege apigwe tu risasi hadharani Kama Tundu Lissu, sisi ni donor country tuwaachie hiyo ndege tununue zingine hata tano Kama hiyo kwa cash.
 
Kazi kuitia aibu Tanzania, sasa dunia nzima tena, hivi huyu Magufuri anavyakataa kumlipa huyo mkulima kwani analipa hela za mfukoni kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…