Uaskofu unazidi Ukardinali

Uwing wa waislam ndo nini?mkasome mpate sifa za kushika hzo nafasi.mbona walosoma wapo katka nafas nzur. Shule hamtak mmekalia kulalama tu.
 
Alafu sifa za mfumo huu bora wa utawala wa Kanisa Katoliki kuna watu tena wengine wakristo watampa Lusifa na badala ya Mungu while hakuna mfumo bora zaidi ya huu ktk taasisi yoyote duniani!
 
Kwa maana hiyo mkuu wa Kanisa katoliki Tz ni nani hasa?
Hakuna mkuu wa kanisa Katoliki Tanzania, kuna wakuu wa majimbo ambao ni maaskofu lakini MKUU hayupo. Pengo hajawahi kuwa MKUU WA KANISA KATOLIKI TZ ingawa hata hivyo hajawahi kukanusha pamoja na kuwa wanahabari wanamuita hivyo kimakosa, may be anapenda UKUBWA. Anaweza kuwepo msemaji ambaye ni rais wa TEC. Lakini tamko lolote la Ukatoliki sharti lisainiwe na MAASKOFU WAKATOLIKI WOTE nchini wala siyo mmoja!!!

BTW (By the way) Askofu wa jimbo yuko answerable moja kwa moja kwa Pope na siyo Mtu mwingine yeyote au Askofu mwingine yeyote Tz. Not even the Apostolic Nuncio (Balozi wa Papa nchini)

Jambo jingine (ingawa laweza kuwa ni out of context) kuwa kwenye hierarchia ya kanisa Katoliki, cheo cha "Ukardinali" hakipo wala ukardinali siyo daraja. Ngazi liko hivi 1. Pope 2. Askofu 3. Padre 4. Shemasi then Waamini wengine.

Ni hayo tu!!!!
 
Wakatoliki ni wabaya sana!
Wanawabagua wakristo wote wasii wakatoliki!
Mkuu Ntuzu hawa wabudu masanamu unawaongeleaje?
Manake mi nawaona kila mara wanavyo wabagua nyie.

Na nnadhani yule mchungwaji mpenda makalio Eiyer pia ni mkatoliki! Lkn hujifanya sio ili ale ile michango ya paroko tu!

Thread inahusu hierarch za Kanisa Katoliki. Hayo uliyoyauliza yaanzishie thread yake
 
Last edited by a moderator:
Wakatoliki ni wabaya sana!
Wanawabagua wakristo wote wasii wakatoliki!
Mkuu Ntuzu hawa wabudu masanamu unawaongeleaje?
Manake mi nawaona kila mara wanavyo wabagua nyie.

Na nnadhani yule mchungwaji mpenda makalio Eiyer pia ni mkatoliki! Lkn hujifanya sio ili ale ile michango ya paroko tu!
Nina hakika hujaisoma hii thread wala usingeleta huu u.pupu wako. Wavivu sana wakusoma nyie au ulitaka uwekewe picha katika hili? Soma kitu kizima wewe!!!!
 
Nina hakika hujaisoma hii thread wala usingeleta huu u.pupu wako. Wavivu sana wakusoma nyie au ulitaka uwekewe picha katika hili? Soma kitu kizima wewe!!!!

Mvivu babu yako!
Na aliyekwambi comments zangu lzm ziendane na uzi ni nani!?

Huna adabu we mtoto hata ya kuandika. Au ndio mafunzo ya kikatoliki hayo!
 
Wakatoliki ni wabaya sana!
Wanawabagua wakristo wote wasii wakatoliki!
Mkuu Ntuzu hawa wabudu masanamu unawaongeleaje?
Manake mi nawaona kila mara wanavyo wabagua nyie.

Na nnadhani yule mchungwaji mpenda makalio Eiyer pia ni mkatoliki! Lkn hujifanya sio ili ale ile michango ya paroko tu!



Mkuu kahtaan Habari za masiku Mkuu? Upo?

Ngoja niisome kwanza hii mada then naweza changia chochote!
 
Last edited by a moderator:
Uwing wa waislam ndo nini?mkasome mpate sifa za kushika hzo nafasi.mbona walosoma wapo katka nafas nzur. Shule hamtak mmekalia kulalama tu.

We akili kuambiwa!

Unaweza kunihesabia Viongozi wako wa nchi ambao ni WAISLAMU!?

Au unaropoka tu!

Na je! Unafahamu kuwa matajiri na walipa kodi wakubwa hapo nchini Ni WAISLAMU!

Nyie wagalatia akili zenu km Paulo!
 
kwa sasa mkuu wa kanisa katoliki Tz ni mhashamu baba askofu T Ngalalekumtwa
Kanisa katoliki halina mkuu kwa tanzania... Ngalalekutwa ni mwenyekiti wa baraza la maaskofu tu.. In short kila askofu ni mkuu kwa jimbo lake tu, Kama ilivyo Kwa Pengo mamlaka yake yaniashia Dar es salaam tu, akishavuka kiluvya hana mamlaka yeyote kikanisa kwa mkoa wa pwani
 
Back
Top Bottom