Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
Hizi siasa kweli pasua kichwa, sasa hao wabunge wakiondoka kisa kauli ya mbowe ina maana hakuna watu wengine wa kugombea? si waende tu, na hayo magazeti mengine ya DAR tu bila kutaja CDM hawauzi kweli wanapata mlo kupitia neno CDM.